Kujamba (kutoa ushuzi) kuna faida kiafya?

sometimes kujamba kunasababishwa na gas tumboni. angalia vyakula unavokula mf vya mafuta sana, mbatata, maharage
au pia ukiwa unahitaji kwenda haja kubwa huanza kwa kujamba pia.. control u a diet , vitapungua hivo
 
I like this ! Nimecheka sana leo kwani umenikumbushia consultant mmoja wa kizungu alikuja kutufanyia kazi ofisini kwetu, sasa sisi huwa tukijisikia ku-pumua tunaenda mbali na upeo wa masikio na pua za wenzetu (sometimes washroom), ila yeye alikuwa anaviachia tu tena kwa sauti kuuuuuubwa du!

Hivi na mimi niulize, kujamba kunaitwaje kwa kiingereza vile?
 
hii inanikumbusha wakati nafanya kazi na wahindi wao kikija tu hakuna kuona so ni puuuuuuuuuuuu, au fyuuuuuuuuuuuuu wao wakazani wanajamaba kihindi mana sisi wabongo hatujui kihindi, sema kijambo chao hakinuki sana ila kina ukali wa pilipili wakijamba sana unasikia macho yanawasha
 
Giving out air biologicaly is something normal kwani what is happening inside the tummy during digestion process results into gases of different types which outomaticaly needs to be given out. Hakuna mtu asiye jamba and hii n kwasababu ya mfumo mzima wa umeng'enyaji chakula ndani y mwili. baadhi ya protein foods zina sulphur ndani yake ambayo baada ya kumeng'enywa hutoa H[SUB]2[/SUB]S gas.​

harufu mbaya ya kubeua au kujamba inatoka na ukweli kwamba kuna H[SUB]2[/SUB]S gas imetengenezwa nyingi hii hunuka kama vile yai lililooza mara nyingi mtu aliye vimbiwa huweza kuiskia zaid anapobeua. Muda mwingine harufu kali ya kijambo ni ishara kwamba the bowl need to be emptied kwani colon inakuwa tayari imejaa the shit and the air in it is forcing out.
 
I like this ! Nimecheka sana leo kwani umenikumbushia consultant mmoja wa kizungu alikuja kutufanyia kazi ofisini kwetu, sasa sisi huwa tukijisikia ku-pumua tunaenda mbali na upeo wa masikio na pua za wenzetu (sometimes washroom), ila yeye alikuwa anaviachia tu tena kwa sauti kuuuuuubwa du!

Hivi na mimi niulize, kujamba kunaitwaje kwa kiingereza vile?

kujamba kwa kingereza ni farting so jamba/fart..
 
Habari ndugu zangu, kuuliza si ujinga. Nafahamu takribani kila kitu kimtokacho mtu (hususani uchafu) kama mkojo, kinyesi, makozi, mate n.k hueneza aina fulani ya ugonjwa. Leo hii naomba kujua hewa chafu inayotoka kwa njia ya haja kubwa inaeneza ugonjwa gani? Dalili zake? Mbinu za kuzuia n.k. AMANI IWE NANYI! Naomba kuwakilisha
 
Kutoa hewa chafu hakuenezi ugonjwa wa aina yeyote ile, ila unaweza kuwa na madhara kama mtakuwa kwenye chumba kisichokuwa na hewa ya kutosha, inaweza kupelekea kuzimia hadi kufa kama hali hiyo itaendelea.
 
Watu wanajamba sana, vijambo hivyo vina harufu kali ile mbayaa.... Nahisi vina madhara kiafya
 
Kutoa hewa chafu hakuenezi ugonjwa wa aina yeyote ile, ila unaweza kuwa na madhara kama mtakuwa kwenye chumba kisichokuwa na hewa ya kutosha, inaweza kupelekea kuzimia hadi kufa kama hali hiyo itaendelea.
mamayangu mbavu zangu0
nimecheka bila break aahh jf bwana kuna mambo, kuzim4ia hadi kufa!!!
 
Najua sehemu za baridi watoto hufunikwa gubigubi pamoja na mama zao. Ingekuwa kwel mijambo inaeneza magonjwa,sijui ingekuwaje hapo.
 
Habari ndugu zangu, kuuliza si ujinga. Nafahamu takribani kila kitu kimtokacho mtu (hususani uchafu) kama mkojo, kinyesi, makozi, mate n.k hueneza aina fulani ya ugonjwa. Leo hii naomba kujua hewa chafu inayotoka kwa njia ya haja kubwa inaeneza ugonjwa gani? Dalili zake? Mbinu za kuzuia n.k. AMANI IWE NANYI! Naomba kuwakilisha

Mkuu nimejikuta nacheka sana kwa huu uzi wako, halafu hapo kwenye red umeniacha hoi kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom