Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,332
- 10,946
Japo imekaa kiutani, lkn kuna kitu muhimu sana hapa.
Nishawahi kula mkong'oto (kipindi nikiwa dogo) kwenye sahani kisa nilijamba.
Lakini nilimuuliza mama yangu, kwanini kanipiga.
Japo nilikua mdogo kipindi hiko lkn niliamini nimeonewa sababu nilijua kujamba sio kosa.
Na mpaka leo nimeendelea kuamini hivyo japo watu wengi (hasa wazee) watakuona ni mtovu wa nidham.
Nishawahi kula mkong'oto (kipindi nikiwa dogo) kwenye sahani kisa nilijamba.
Lakini nilimuuliza mama yangu, kwanini kanipiga.
Japo nilikua mdogo kipindi hiko lkn niliamini nimeonewa sababu nilijua kujamba sio kosa.
Na mpaka leo nimeendelea kuamini hivyo japo watu wengi (hasa wazee) watakuona ni mtovu wa nidham.