mijadala ya kujadili rais ajae mara baada ya rais kikwete kumaliza awamu yake ya pili ilianza mapema mara baada yakumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,mijadala hii inaonyesha wazi kwamba wananchi hawana hamu tena na rais aliyepo sasa na kama wangekuwa wanaridhishwa na utendaji wa rais wa sasa sidhan kama mijadala hii ingeanza mapema kiasi hiki,ni fursa ya pekee sasa kwa rais kikwete kuyaona hayo na kujiuliza kwa nini mijadala hii ianze mapema kiasi hiki na kisha kujitathmini na kuona kama bado anatosha kuendelea kuwaongoza watz, kwa mawazo yangu ya harakaharaka naona wananchi wamechoshwa na rais kikwete ndio maana mijadala ya urais haiishi kila kukicha.
NAWASILISHA!!!
NAWASILISHA!!!