tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Kuna baadhi ya wananchi wanahoji baadhi ya masuala ya muungano na wanaomba ujadiliwe katika pande zote mbili za muungano. Hilo likijitokeza wanaambiwa wanaleta chokochoko. Binafsi naamini kwamba kufanya hivyo ni haki yao ya msingi ya kujadili masuala yanayohusu maisha yao.