Tusipoangalia ujio wa Brasil Tanzania unaweza kufanya tupoteze kumbukumbu zetu kwa shauku na hamasa. F Kaijage msemaji wa TFF anasema kuwa Brasil ikicheza na TZ jumatatu itakuwa inacheza kwa mara ya pili katika ardhi ya Africa, amesahau kuwa confederation ilifanyikia south Africa pia ambapo brasil ilishiriki. Pia anaposema kuwa Brasil kucheza na Tanzania itakuwa ni timu ya sita kwa bara la Africa baada ya Nigeria, Cameron, Egypt, South Africa, Zimbabwe na sisi tutakuwa wa sita, World cup 2006 Brasil ilicheza na Ghana kwenye last 16 wakawafunga 3-0. Hivi TFF hawana hata Mtandao wawe wanatafuta habari kabla ya kuja Public? Mkongo uliopigiwa debe na JK ni wa nini?. Msikilize
[video=vimeo;12259040]http://vimeo.com/12259040[/video]
source: kennedytz blog
http://www.youtube.com/watch?v=M6R_8eraIho
[video=vimeo;12259040]http://vimeo.com/12259040[/video]
source: kennedytz blog
http://www.youtube.com/watch?v=M6R_8eraIho