Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 55,776
- 90,490
Humjui William wewe, wenzako moderators hapo wanakucheka tu, huyu huwa anapiga simu kabisa baadhi ya post zifutwe lakini huwa akikutana na Moderator ngangari huwa wanampotezea tu, huyu jamaa amezoea kule Facebook aki update status tu basi anagongewa LIKE na comment za kumtukuza, ukienda kinyume na anavyopenda yeye anadelete comment yako au anakublock kwenye friends wake.kitu nilichokipenda kwa william ni uhubutu,kujiamin,na uwezo wa kumudu stress za jf...!
kila la heri
Le Mutus, Le Baharia, Sauti ya Umeme, The Big Show, @ New York, USA!!.......kwa sifa hizo tu huyu jamaa anafiti zaidi kuwa Meneja wa Ngwasuma na wala si vinginevyo.