misorgenes
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 206
- 50
Nmeangalia majina. Hizi ni shortlist kweli? Watu 2226? Duh
Naombeni mnipe ratiba kwa watu wa IT NA COMPUTER SCIENCE interview lini?.msaada jamani.cm zinatesa sometime.
Yaaaa this is rubish busness never experience in ma life hawa jamaa hopeless eheeee yaani mtu afanye mtihani then aitwe kwenye interview kwa hiyo wanadhani wao ni mahiri sana wa kutunga mitihani kuliko vyombo vingine?In this University there is something wrong.Watu wanatafuta kazi alafu wanawapa unnecessary cost.What I know hizo position huwa hazichukui idadi ya watu wengi (administration),Sasa kwa nini wasifanye shortlist wawaite wachache kwa ajili ya interview hta ikiwa ya mtihani wa either kuandika au oral.This is the country kwa kweli.
Mpeleke tu Mkuu atapata maana wengine tumeshaamua kuendelea na mambo yetu. Nikose Mechi ya Liverpool VS Man Utd siku hiyo kisa nagombea nafasi 12 kati ya 1424? Jamaa wahuni sana hawaMajina yapo katika mtandao, nafasi za hr/admin zilikua 12 na wameita watu 1424.
Mke wangu nae kaitwa, sasa sijui nimpleke au lah!
List ndefu kweli ndio maana nimeona itajaza nafasi, ina page 65. Taja post ulioyoomba (kama hutajali) ni paste hicho kipande
mm nashangazwa na kitu kimoja. inakuwaje watu wanaambiwa wanatakiwa kwenye interview siku tatu kabla au ndo yaleyale (nafasi washachukua watu) ss tunaitwa kwenda kuwahalalishia ajira yao maana walipita bila ya hiyo interview.
sababu.
siyo watu wote walioitwaq kwenye hiyo interview wanatokea DODOMA hivyo watahiniwa watasafiri kutoka sehemu mbalimbali kwenda huko na watakuwa hawajapumzika wanaenda moja kwa moja kwenye interview. mfano mtu anatokea zanzibar au mikoa yakusini inamlazimu kesho asafir afike dar alale.ili ijumaa aelekee dodoma akishafika dodomakesho yake asubuhi anatakiwa kwenye hiyo interview akiwa anauchovu wa siku mbili kwa ajili ya safari kutoka alikotoka kuelekea DODOMA.
HII NI HATARI.
kwani mtu anaingia kwenye hiyo interview akiwa na uchovu matokeo yake anafeli hiyo interview.
HIVYO NADHANI
watu wameitwa ilimradi tu iyonekane kama muliitwa. LAKINI KUMBE TEYARI WAMESHAAJIRI. so wananafasi ya kujitetea kuwa ilifanyika interview ndiyo wakapatikana hao waliopo kazini hivi sasa.
TUMUOGEPE MUNGU TUSIPENDE KUWAHANGAISHA WATU SABABU TU WANASHIDA.
TUWE WAKWELI
Wadau naomba ufafanuzi, hivi ni kwamba watu zaidi ya elfu moja ndio wameitwa kwenye usaili au nimeelewa vibaya????????????
mkuu,we una experience na hiyo mishahara yao utujuze!