Kwa wale walioomba nafasi mbali mbali za Kazi katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mnaarifiwa kuwa kutakuwa na mtihani wa kuandika kwa tarehe tajwa hapo juu. Wale tu watakao faulu wataitwa kwa mahojiano (Oral Interview) Majina ya walioitwa ynapatikana kwenye tovuti ya Chuo (Japo sijaona kitu) na kwenye magazeti ya kesho tarehe 12/10/2011.
Kila la heri kwa wale TUTAKAOITWA, twendeni tukaonyeshane kazi!!!! Ukiona kajamaa kafupi na keusi tiii kakiwa na jezi imeandikwa Standard Chartered basi ujue ni ka Gerrard kametoroka mechi ya Man U kameenda kutafuta kazi huko Udom.
Source: TBC1
Kila la heri kwa wale TUTAKAOITWA, twendeni tukaonyeshane kazi!!!! Ukiona kajamaa kafupi na keusi tiii kakiwa na jezi imeandikwa Standard Chartered basi ujue ni ka Gerrard kametoroka mechi ya Man U kameenda kutafuta kazi huko Udom.
Source: TBC1