makazi kwetu
Member
- Feb 20, 2016
- 51
- 29
Hakuna
AmeshapanicWewe huwezi kupenya Hifadhi post yangu
hii kitu inaonekana bado.ila ukimya huu ndio mchakato wa kuchakachua ,tunaomba kama kuna taarifa zozote za usaili ambao ulifanyika nhif tar 7-11, march 2016?
Mashirika ya kiserikali hata kwa mfano NSSF, PPF, PSPF na hata NHIF na mifuko mingine huwa wanachelewa kuwaita watu kwenye oral interview baada ya written interview, patients pays anza kujiajiri huku ukisubiria kuitwa kwa usaili.......
KUMBUKENI APPLICATION MLIFANYA NOVEMBA,
WRITTEN MKAITWA MARCH,,,,, countdown the same interval =desemba,Januari ,februari=march, haya sasa anza na machi= aprili,mei===........... ukikosa hapo.usiulize mtu ,nenda kalime hukoo kigoma na mtwara,na mara,na ngara, na kyela au katavi huko.utachagua mwenyewe
kama watu wanataka wawe matajiri kama wakulima kwann wanajazana kuomba NHIF .wewe umelima, ? watajiajiri wapi kama sio kwenda kulima maharage au mbogamboga? acha povu linitoke nawapigia kelele watu wakalime.na wewe nenda kalime huko kijijini kwenuWakulima nchini ndo matajiri na ndo wanaendesha uchumi kwa kiasi kikubwa we jishaue na kutokwa na povu paka wee
ANY UPDATE YA KUITWA KWENYE ORAL INTERVIEWWadau kwa wale walioomba nafasi mbalimbali NHIF mwaka jana November hatimae hilo lundo linaloitwa orodha fupi limetangazwa. Tembelea tovuti ya NHIF ujipatie kuona. Natanguliza shukrani!
LINK: CALL FOR INTERVIEW
ANY UPDATE YA KUITWA KWENYE ORAL INTERVIEW
Nitumie Tsh 10000 nikupe hayo majina.Mwenye Yale majina yaliyotoka mwanzo msaada please... Mdogo angu amesahau namba
mnaikumbuka post yangu hii ya kuhesabu miezi ee,KUMBUKENI APPLICATION MLIFANYA NOVEMBA,
WRITTEN MKAITWA MARCH,,,,, countdown the same interval =desemba,Januari ,februari=march, haya sasa anza na machi= aprili,mei===........... ukikosa hapo.usiulize mtu ,nenda kalime hukoo kigoma na mtwara,na mara,na ngara, na kyela au katavi huko.utachagua mwenyewe
duh,bora hata wewe umefanya hilo.,mi nilitumaga email kabla hawajatoa hizi za juzi.nlikuwa naogopa kutuma tena kuuliza ntaonekana msumbufu wasije wakafuta jina langu kuchujwa mapemaa.nimewapigia leo huduma kwa wateja NHIF wamesema zile post zilizo sahaulika wataweka matokeo pia kuanzia wiki lijalo