makazi kwetu
Member
- Feb 20, 2016
- 51
- 29
Hapa ndo tulipofikia
Ila kama Tasisi ipo serious haiwezi kufanya jambo kama hilo hata siku moja!Hapa ndo tulipofikia
Kaka hapo nami nipo ila siwezi dharau na kujipa wakati mgumu kifua mbeleee naenda pambana hio 11 marchMfano post ya compliance and field officer wameita watu 3088 wanaitajika watu 9.. hii ni hatariii
TutakutanaaaKaka hapo nami nipo ila siwezi dharau na kujipa wakati mgumu kifua mbeleee naenda pambana hio 11 march
Naam kila la kheri mkuuTutakutanaaa
Asante mkuu nawe pia.Naam kila la kheri mkuu
Hatari sanaaaMfano post ya compliance and field officer wameita watu 3088 wanaitajika watu 9.. hii ni hatariii
Kama umeitwa nenda ...na kama Upo Dar ni rahisi zaidi... mi kuna watu nawafahamu wapo mkoa yani hado wamekata tamaa kabla ya kuja. Kila la kheriTutakutanaaa
Chukua gwala man,u hit apoint,Sio mbaya tutakwenda kujaribu bahati kama ipo ipo, never give up, face your fear one day yes.
Kama hutaki kazi na upo poa basi shiiiiiiiii!, its better to be mute sioni la umuhimu wewe kuwakatisha watu tamaa na coment yako acha wale wanaopenda kujaribu wafanye.Sihitaji kazi nipo poa nazungumzia kwa jumla
Sasa kila mtu akiwa na hayo mawazo kwamba siyo wote watajitokeza its obvious mtajikuta wote mmendaUkweli ni kuwa idadi ya watu ni kubwa sana. Hata hivyo sio wote watakoenda kwani kwahiyo idadi kuna wengi tu watakokata tamaa.
Ila nashauri kila alopata hiyo fursa aende kwasababu kuu zifuatazo.
1: Lazima kuna watu wataajiriwa na hilo linaweza kumdondikea yeyote. Kwahiyo unaweza dharau ila ukashangaa ndio bahati yako.
2: Unaweza usifanikiwe kwenye.interview hiyo ila uzoefu utakaoupata hapo ukakusaidi kwenye interviews zijazo. Kuna maswali unaweza yakuta hapo na usiyakumbuke au kuyafahamu ila inaweza tokea kesho taasisi let say SSRA wametangaza kazi na ukakutana na baadhi ya maswali yanamna ile na ukashangaa umetoka.
3: Kwa hali ilivo hakuna namna interview zitakuwa na watu wachache. Nina uhakika hao NHIF wamejitahidi kupunguza idadi kubwa na hii tafsiri yake ni kuwa applicants walikuwa wengi hatari. Sasa kama hutaki kuhudhuria hii interview umeamua kujitoa kutafuta kazi kwani kazi nyingi bado zinaidadi kubwa ya applicants kwahiyo ukijitoa hapa ujitoee na zingine zijazo jambo ambalo siamini kama ni zuri.
NB: Interview ni gharama lakini jiulize juu ya opportunity cost ya kutokwenda then ndio utagundua umuhimu wa kujaribu. Kila la kheri kwenye interview......
Mr mtui i tell you athing,kama kuna jambo unataka kufanya usisikilize maneno ya mtu,face the challenge, kuna msemo unasema THE HARD WAY IS THE ONLY WAY,face it and feel the music.Sasa kila mtu akiwa na hayo mawazo kwamba siyo wote watajitokeza its obvious mtajikuta wote mmenda
Mkuu fanya msasa wa lugha, kumbuka interview haitakuwa kwa kiswahiliMr mtui i tell you athing,kama kuna jambo unataka kufanya usisikilize maneno ya mtu,face the challenge, kuna msemo unasema THE HARD WAY IS THE ONLY WAY,face it and feel the music.
VP jamaniii,Wadau kwa wale walioomba nafasi mbalimbali NHIF mwaka jana November hatimae hilo lundo linaloitwa orodha fupi limetangazwa. Tembelea tovuti ya NHIF ujipatie kuona. Natanguliza shukrani!
LINK: CALL FOR INTERVIEW
annyy updates wadauWadau kwa wale walioomba nafasi mbalimbali NHIF mwaka jana November hatimae hilo lundo linaloitwa orodha fupi limetangazwa. Tembelea tovuti ya NHIF ujipatie kuona. Natanguliza shukrani!
LINK: CALL FOR INTERVIEW
yani usaili juzi tu then leo unataka majibu?au unataka walipue katka usahihishaji?annyy updates wadau