wana jf naomba mnisaidie kwny interview ukiulizwa mambo yafuatayo utajibuje?
1.tell us about yourself
2. what are your strengths?
Ni muhimu natarajia kufanya ORAL interview j4 wiki ijayo ya TRA ndugu help me plz.
wana jf naomba mnisaidie kwny interview ukiulizwa mambo yafuatayo utajibuje?
1.tell us about yourself
2. what are your strengths?
Ni muhimu natarajia kufanya ORAL interview j4 wiki ijayo ya TRA ndugu help me plz.
'ufalme wangu' ...yale yaleee. Wadau hizi ndio mbegu. M'buyu wa ufisadi huanza kama mchicha.
Utanipa FEEDBACK ka utakuwa ume~GAIN kitu kutoka kwenye hiyo WEB..Best WishesThanks mdau, kwa kunidirect web ya masuala ya interview ngoja nika surf men... pamoja sana, nikipata TRA ntakukumbuka ktk ufalme wangu.
By TONGINDI
wana jf naomba mnisaidie kwny interview ukiulizwa mambo yafuatayo utajibuje?
1.tell us about yourself
2. what are your strengths?
Ni muhimu natarajia kufanya ORAL interview j4 wiki ijayo ya TRA ndugu help me plz.
DUUH KWELI WEWE NI KIBUYU....HOW DID U GRADUATE MY FRIEND?,I SUGGEST TO TAKE SOME MEMOZ WITH U AS USUAL [/B]