ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,205
- 8,236
Usiniambie mkuu! Hebu ukifika ulizia na jina langu manake hata mimi niliomba kazi hapo nssf
nimepigiwa simu juzi ijumaa kutoka nssf nikitakiwa kwenda kwenye usaili jumatano luther house azania front. kwa hiyo sidhani kama watatoa shortlist kwenye media!