website ya nssf haina majina na kwa bahati mbaya hata tangazo la kazi halikuwapo kwenye website so inawezekana hata majina wasiyaweke kwenye website yao cha msingi ni kuangalia other sources
Dah nisamehni kwa kutoa habari hii, nimewasiliana na jamaa aliyetoa nyeti na kusema ni yapo kwenye mchakato kwa kipindi hiki alikosea kunieleza tu, sorry wadau.......mjini shule!
nimepigiwa simu juzi ijumaa kutoka nssf nikitakiwa kwenda kwenye usaili jumatano luther house azania front. kwa hiyo sidhani kama watatoa shortlist kwenye media!
Haya kama mimi muongo tukutane jumatano saa tatu pale luther house, azania front. ila trust me huo ndio ukweli wenyewe sidhani kama kutakuwa na shortlist kwenye media!
nimepigiwa simu juzi ijumaa kutoka nssf nikitakiwa kwenda kwenye usaili jumatano luther house azania front. kwa hiyo sidhani kama watatoa shortlist kwenye media!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.