hawako serious hao... namshaka na competence yao kwenye hr profesional, huwezi kuitaita watu hovyo tu as if unaenda kunua chips bandani lazima wajue walitaka kuajiri mtu aliesoma, na ni muhimu kwa org yao. achana nao watakuja kukufastruate in future hao
Yani ni kama mwanzisha mada ameenda kwa mganga wa kienyeji alafu ndio anamuuliza hilo swali.
Kinachofuata mganaga atamwagiza jogoo ili achungulie kama ataitwa au la!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.