kijanamimi
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 244
- 169
wakishaajiriwa wanaenda training mwaka mzima chuo cha kodi kwaio sio mbaya
Barua ipi mkuu? Maana mdogo wangu ananiambia ye kapgiwa simu tuinterview itakua jumamosi pale mikocheni...kama wamekupigia simu na una ile barua yao
sio kalibu ni Karibu,wewe ndio utawafanyia usahili? au nimiongoni mwa-mlioitwa kwenye usahili?Jamani kama uliomba kazi tra post za level ya diploma kaa kalibu nasimu yako wameanza kuita (tax assistant,preventive assistant na custom assistant.
Hahaha daaah hayaKw taarifa zaidi waliosoma kodi ktk chuo cha kodi ITA wao wameitwa na kupewa barua kuanza kazi direct kutokana na uhaba wa wafanyakazi
Jumamosi ya tarehee ipiinterview itakua jumamosi pale mikocheni...kama wamekupigia simu na una ile barua yao
mwambie azamie tu au aende trawakuu samahani hakuna link yeyote inayoonesha majina ya walioitwa kwenye interview? maana nna cousin wangu kapigiwa simu hakupokea rafiki zake wakamwambia ni namba ya TRA iliyokua ikiwapigia watu kuwaita kwenye interview
Wewe sijui utakua una akili gani kumjudge mtu, haya mambo ya michakato ndo hatuyataki, kusubiri interview miezi 6 huu ni upuuzi na kupotezeana muda.Kumbe kuelewa nacho kipaji aisee,sasa hapo kinachokuchanganya nini?? Kwani ukifanya Leo interview na kazi ukaanza mwezi wa 9 kuna athari gani kwa zuio LA uhakiki??
Wameanza janahivi walio fanya oral interview taree 5 ya TRA vp jaman wamesha anza kuita au bado...
mimi naomba kujua wale walioomba kazi office assistant pamoja na records june 2016 ndo interview ilifanyika vipi hatima yetu?Jamani kama uliomba kazi tra post za level ya diploma kaa kalibu nasimu yako wameanza kuita (tax assistant,preventive assistant na custom assistant.
mimi naomba kujua wale walioomba kazi office assistant pamoja na records june 2016 ndo interview ilifanyika vipi hatima yetu?wakishaajiriwa wanaenda training mwaka mzima chuo cha kodi kwaio sio mbaya
mimi naomba kujua wale walioomba kazi office assistant pamoja na records june 2016 ndo interview ilifanyika vipi hatima yetu?Wameanza jana
tuliofanya oral office assistant june 2016 hatima yetu inajulikana au bado?hivi walio fanya oral interview taree 5 ya TRA vp jaman wamesha anza kuita au bado...
tuliofanya oral office assistant june 2016 hatima yetu inajulikana au badohivi walio fanya oral interview taree 5 ya TRA vp jaman wamesha anza kuita au bado...
tuliofanya oral office assistant june 2016 hatima yetu inajulikana au badoNafas zenyewe kuna limitation ya umri...daah
tuliofanya oral office assistant june 2016 hatima yetu inajulikana au badohivi walio fanya oral interview taree 5 ya TRA vp jaman wamesha anza kuita au bado...
tuliofanya oral office assistant june 2016 hatima yetu inajulikana au badosio kalibu ni Karibu,wewe ndio utawafanyia usahili? au nimiongoni mwa-mlioitwa kwenye usahili?