Kuitwa kazini tra nafasi ya it specialist

Sambukile Sambamba

New Member
Jul 27, 2012
1
0
Habari za majukumu ndugu zangu nilikuwa naomba mwenye taarifa kuhusiana na nafasi ya kazi ya IT SPECIALIST wa TRA SACCOS tulio fanyaga interview pale TRA katika chuo chao cha kodi kilivhopo mwenge kule mpaka leo naona kimya hivi ile interview ilishiaga wapi? au kuna mmoja wetu alishapataga ile kazi kinyemela. naomba tujuzane wanao fahamu ili tuepukane na uzembe wa kusubiri majibu hewaaa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom