habari zenu jamani,kuna mdogo wangu kapigiwa simu leo na sekretariate ya ajira ,kwa post zile za july 2011 za NAO za internal auditor ambayo interview ilishafanywa na watu 100 waliitwa kazini lakini yeye hakufanikiwa kupata, na akaambiwa awe stand by baada ya siku mbili atapigiwa simu ajira itakapo kuwa tayari,nahitaji kujua je kuna mtu yeyote yule naye kapigiwa? isije ikawa kuna mtu anamchezea, coz alipotaka kuuliza zaid akajibiwa asubiri atapigiwa simu ya kuitwa kazini,