baba wa taifa alikuwa hakika mzalendo asiye na mfano,aliweka maslahi ya umma kwanza na kutufanya watz kujiona kama watoton wa baba na mama mmoja na chochote ndani ya tz ni chetu wote,ila sasa mambo yamegeuka kila aina ya uchafu upo hapa tz chini ya ccm na serikali ya jk,pl and plz waungwana,njia pekee ya kumuenzi baba wa taifa octoba hii ni kuinyima kura ccm,pamoja tunaweza