Kuishi pamoja!

" wanaume wote wamezaliwa na baba mmoja na mama mmoja" kwa maana karibia wote tabia zao zinafanana.

ngoja hembu tusikie watakavyosema!! wasije nitoa macho bureeee!!!!

Ulikuwepo wakati wanazaliwa?
Susy mshari ww.
 
Sasa bibie mbona unawaonea watoto wa watu???Kama ni kwa tabia mbaya mbona hata sisi karibu tutawafikia!!Usikute wote tulizaliwa na mtu mmoja...aliyetulea tu ndo mwingine!

Mweresee mchokozi kama nn huyo mwanamke.
 
Kuishi pamoja ni kazi upande wangu mana relationship haziendi kabisaa nikikaa na mtu nyumba moja!!..
Kwa watu kuishi pamoja kabla ya kuoana kama wanawezana haina tatizo, inategemea na makubaliano yao pia walipokutana katika dunia hii..
 
kingine ni kwamba ni ngumu sana kumtambua mwenzi wako kabla hajaishi pa1, iwe ndoa/kuishi bila ndoa yote sawa, mkianza kuishi pa1 kwa namna moja au nyingine ndio huwa tunayatoa makucha ye2, so hapa ishu ni kwamba hiyo ya sogea tuishi ni nzuri nayo kama mna malengo ya kujuana zaidi bila kuanzia familia(watoto) mkianzisha familia tayari mtu kama huyo atakuwa kama kina sie tu hapa.....

Issue ni complicated kuliko tunavyodhania. Embu fikiria leo unaishi na Juma mwaka mmoja mnashindwana kila mtu anachukua time. Kesho unampata Deo mnakaa miezi sita mnashindwana kila mtu anachukua time, then unakutana na Hamisi mnakaa miaka miwili mnagundua mna tofauti mnatengana kila mtu anaangalia ustaarabu mwingine. Ndani ya hayo mahusiano umeshazaa watoto watatu. Who is a looser? Nadhani huo mfumo una faida kwa wanaume kwani kwa mwanamke ukishakaa na mwanaume mmoja uwezekano wa kuthaminiwa na mwanamume mwingine hasa kwa Africa ni mdogo. Utaitwa "hujatulia". Na hata watoto utakao wazaa wakikua watakuwa wanajiuliza wewe ni mama mwenye tabia gani? Kwa hiyo naweza sema kwa Africa jamii haimuelewi mwanamke anaebadilisha partners hasa kama walishaishi pamoja.
 
Nyumba kubwa kwani waliofungwa pingu za maisha ndo hua hawafungui??Wanaume na wanawake wangapi wanatafuta wenza wapya baada ya kuvunja au ndoa zao kuvunjika??Hamna kinachoguarantee wawili kua pamoja mpaka mwisho...hata ndoa !
 
Tatizo kizazi chetu hakitaki kukabiliana na challenges. Na watu wengi kwa sasa hasa ambao hawapo kwenye ndoa wamekuwa na tabia ya kukatisha tamaa waliomo kwenye ndoa au wale wanaotaka kuolewa. Nashangaa kwa nini wanachukulia ugomvi wa wenye ndoa kama ni big deal, mbona tumekuwa tunagombana na kaka, dada zetu kwenye familia sembuse mtu mliejuana ukubwani na wote mmelelewa mazingira tofauti. There are lots of bennefit of getting married than costs. Jaribu kuangalia maisha ya single parents yalivyo na challenges. Ukiwa na mwenza hata kama hana kipato lakini mawazo ya wawili si sawa na ya mmoja hasa kama kuna tatizo.

Watu wengi wakisikia wamama (maana ndo wanaonekana victims) wakilalamika mara mume wangu mzinzi, bahili etc wanaona basi ndoa ni ndoano. But am telling you even those who are complaining still have good side of the story but they only share their dark sides since they feel like that is what people would like to hear. Maana ukimsifu mumeo utajijengea maadui kwani watu wataanza kukuombea matatizo yakukute ukome.




Kila mtu aishi maisha yake na afanye maamuzi kutokana na kile anachoona sahihi kwenye maisha yake....kwangu mimi sidhani kama ni kujidanganya mtu kuona watu wanaoishi pamoja kabla ya ndoa kama wanakosea....katika kila kitu binadamu tunaongozwa na misingi fulani kama dini,elimu,tamaduni...na si lazima tuwe perfect kwenye hiyo misingi ndo uunge/kutounga mkono hoja fulani fulani....

Hakuna ndoa iliyo perfect,wala haitakaa iwepo....haijalishi mliishi pamoja mkajuana sana kabla ya ndoa au hamkuishi,changamoto ziko pale pale...vishawishi na vikwazo viko tu na vinashamiri kila siku....kusema ndoa za siku hizi zimejaa unafiki,sijui ni za siku zipi ambazo hazikuwa na unafiki......manake kukiuka viapo vya ndoa ni kitu kimekuwepo tangu enzi hizo...mapungufu ya kwenye ndoa si unafiki,ni matokeo ya kuishi binadamu wawili ambao wote wamepungukiwa utukufu wa Mungu na wana tamaa...

Sijidanganyi wala simdanganyi muumba wangu anayeona sirini kwa kupinga kuishi pamoja kabla ya ndoa....kutokuishi pamoja kabla ya ndoa hakunifanyi mimi/wala yeyote mkamilifu ila nina sina budi kujitahidi kadri ya uwezo wangu kutii na kufuata taratibu za dini ninayoiabudu....na tamaduni nilizolelewa....
 
Nachojaribu kusema Lizzy ni kuwa ni rahisi kwa mwanaume kupata mwanamke mpya baada ya kuishi kinyumba na mwanamke kuliko mwanamke. Kwani kama wasemavyo "watu" mwanamme hazeeki. Embu nambie wewe utumiwe na mtu for two years, mtengane. Kama una bahati upate mwingine ukae nae four years, mtengane. Unadhani utaendelea kuwa na market tuuu. Kitakachokukuta ni kuwa when you turn 35 all potential partners will be married. Na kibongo bongo mwanamke lazima awe mdogo kwa mwanume kwa hiyo huwezi kuwa 35 uanze kudate kijana wa 28. Kwa mwanaume yeye hata akiwa 50 kama pesa ipo basi anachukua dogo dogo hata wa miaka 20. Sasa wewe na 35 years you will end up being a looser kwani wale wa umri wako (kama wapo) hata kama hawana wake ni likely wataoa dogo dogo.
Nyumba kubwa kwani waliofungwa pingu za maisha ndo hua hawafungui??Wanaume na wanawake wangapi wanatafuta wenza wapya baada ya kuvunja au ndoa zao kuvunjika??Hamna kinachoguarantee wawili kua pamoja mpaka mwisho...hata ndoa !
 
Nimekusoma nyumba kubwa!Too bad siwezi kuLike nikiwa via mobile!
 
Hii tuhuma nzito lakini kumbuka kama hoja ni ndoa au machafuko kwenye ndoa, chanzo ni mwanamke, kwa mfano wakti wa uchumba au wakati ndoa ikiwa changa wanawake wengi wanaongesha upendo kuanzia sebuleni, jiko, bafuni mpaka chumbani na wanamudu vizuri huduma zote ninaposema
sebuni- heshima kwa mumeo
jikoni- makula kula
chumbani- speed ya mikasi na mitindo ya mikasi haipungui
bafuni - kukandana , massage na kadhalika

sina maana mwanamke ni mtumwa wa mwanaume bali ni nature , hii ni kwenye vitabu vyote vya dini hata wapagani wanafundishwa hivyo, lakini wanawake mmekalia vipodozi tu na mambo ya mchina na ya ndio yanawaponza
" wanaume wote wamezaliwa na baba mmoja na mama mmoja" kwa maana karibia wote tabia zao zinafanana.

ngoja hembu tusikie watakavyosema!! wasije nitoa macho bureeee!!!!
 
mimi naamini ukipata ubavu wako ambao mungu ndio aliokupangia, hata awe na tabia zipi au mpate misuko suko vipi mtaishi mpaka kifo kiwatenganishe. Tatizo ndoa za siku hizi ni za kulazimisha

Hivi nilikwambiaga nakupenda???
 
Lizzy asante ndugu yangu..
hii kitu hii kitu hii kitu
ilini tatanisha sana kama unavyojua..
hembu niulize swali??
hahahahahhaha lol
 
Lizzy asante ndugu yangu..
hii kitu hii kitu hii kitu
ilini tatanisha sana kama unavyojua..
hembu niulize swali??
hahahahahhaha lol

Hahahaha we mwanamke mchokozi wewe.Embu ninong'oneze swali lenyewe!
 
Nachojaribu kusema Lizzy ni kuwa ni rahisi kwa mwanaume kupata mwanamke mpya baada ya kuishi kinyumba na mwanamke kuliko mwanamke. Kwani kama wasemavyo "watu" mwanamme hazeeki. Embu nambie wewe utumiwe na mtu for two years, mtengane. Kama una bahati upate mwingine ukae nae four years, mtengane. Unadhani utaendelea kuwa na market tuuu. Kitakachokukuta ni kuwa when you turn 35 all potential partners will be married. Na kibongo bongo mwanamke lazima awe mdogo kwa mwanume kwa hiyo huwezi kuwa 35 uanze kudate kijana wa 28. Kwa mwanaume yeye hata akiwa 50 kama pesa ipo basi anachukua dogo dogo hata wa miaka 20. Sasa wewe na 35 years you will end up being a looser kwani wale wa umri wako (kama wapo) hata kama hawana wake ni likely wataoa dogo dogo.

Tatizo kizazi chetu hakitaki kukabiliana na challenges. Na watu wengi kwa sasa hasa ambao hawapo kwenye ndoa wamekuwa na tabia ya kukatisha tamaa waliomo kwenye ndoa au wale wanaotaka kuolewa. Nashangaa kwa nini wanachukulia ugomvi wa wenye ndoa kama ni big deal, mbona tumekuwa tunagombana na kaka, dada zetu kwenye familia sembuse mtu mliejuana ukubwani na wote mmelelewa mazingira tofauti. There are lots of bennefit of getting married than costs. Jaribu kuangalia maisha ya single parents yalivyo na challenges. Ukiwa na mwenza hata kama hana kipato lakini mawazo ya wawili si sawa na ya mmoja hasa kama kuna tatizo.

Watu wengi wakisikia wamama (maana ndo wanaonekana victims) wakilalamika mara mume wangu mzinzi, bahili etc wanaona basi ndoa ni ndoano. But am telling you even those who are complaining still have good side of the story but they only share their dark sides since they feel like that is what people would like to hear. Maana ukimsifu mumeo utajijengea maadui kwani watu wataanza kukuombea matatizo yakukute ukome.

asante..Mungu wako akubariki
 
Back
Top Bottom