:twitch::twitch::twitch::twitch:Duh!!! Unapoa giza una agiziaje?????????? Nipatie ile nyama inayo fanana naaaaaaaa ..............!!!!!! Sipati picha
Nyenzie zipi hizo lol!!!!!mbona hiyo nyama haifanani na nyenzie zilizobaki! :faint:
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:Nasikia hata ikipikwa kwa muda gani huwa haiivi! Kama za ngombe, mbuzi, kondoo, kitimoto, kuku ama bata haziliwi inakuwaje huyu ana kula ya mdudu!
Luk carefully at wat shez eatin...lo
Mkuu hebu chunguza vizuri hiyo nyama inayoliwa hapo anagalia picha vizuriMbona inaonekana kama haijapikwa... au ikiwa mbichi ndo inakuwa tamu zaidi?
Nasikia hata ikipikwa kwa muda gani huwa haiivi! Kama za ngombe, mbuzi, kondoo, kitimoto, kuku ama bata haziliwi inakuwaje huyu ana kula ya mdudu!