Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
kuishi kwa dada si mbaya kama unaishi pale ili ujipange kuwa na kwako.
Hasa hawa vijana walio mashuleni na vyuo au wale wanaotafuta kazi sioni ubaya kabisa kuishi hapo sababu kila mtu anahitaji msaada kutoka mahali fulani at a certain point.
Tatizo linakuja pale mtu anapoishi kwa dada, na yeye anajichulia kama mtoto wa pale aliyechekechea, hana wazo la kutafuta maisha yake, yaani yeye sahani ya chakula na kubaki home anasimamia mahausi girl wa mtaa.
Kuna mwingine anaenda mbali na kuoa akiwa anaishi kwa dada na kuzaa watoto akiwa hapo hapo. Au mwingine hata kama hajaoa lakini mwanamme above 35yrs tunategemea uwe na kwako hata kama ni chumba cha kambi ya fisi kinakupa heshima zaidi kuliko kukaa masaki kwa dada, tena ukute dada naye yuko single leo ana bakari kesho Joseph basi inakuwa tabu tupu.
Afu mwanamme akishakuwa mkubwa sana akiishi kwa dada anaanza kujiona ana haki hivi ya ku-impose rules zake, leo naye atataka aje na demu wake, kweli uje ukamulie kwa dada?? Akizuiwa inakuwa nongwa.
Kwa wakaka mnaokaa kwa dada zenu, muwe mnajiongeza kupata akili ya kujitegemea.
Hasa hawa vijana walio mashuleni na vyuo au wale wanaotafuta kazi sioni ubaya kabisa kuishi hapo sababu kila mtu anahitaji msaada kutoka mahali fulani at a certain point.
Tatizo linakuja pale mtu anapoishi kwa dada, na yeye anajichulia kama mtoto wa pale aliyechekechea, hana wazo la kutafuta maisha yake, yaani yeye sahani ya chakula na kubaki home anasimamia mahausi girl wa mtaa.
Kuna mwingine anaenda mbali na kuoa akiwa anaishi kwa dada na kuzaa watoto akiwa hapo hapo. Au mwingine hata kama hajaoa lakini mwanamme above 35yrs tunategemea uwe na kwako hata kama ni chumba cha kambi ya fisi kinakupa heshima zaidi kuliko kukaa masaki kwa dada, tena ukute dada naye yuko single leo ana bakari kesho Joseph basi inakuwa tabu tupu.
Afu mwanamme akishakuwa mkubwa sana akiishi kwa dada anaanza kujiona ana haki hivi ya ku-impose rules zake, leo naye atataka aje na demu wake, kweli uje ukamulie kwa dada?? Akizuiwa inakuwa nongwa.
Kwa wakaka mnaokaa kwa dada zenu, muwe mnajiongeza kupata akili ya kujitegemea.