Kuirudisha CCM madarakani ni maafa ~ Dr Slaa

Waungwana leo nimelazimika kuwakumbusha hotuba ya Mh Dr Slaa pale Mwembeyanga siku tatu hive kabla ya uchaguzi. Alisema "kuchagua CCM ni maafa" na "CCM ni sawa na kikundi cha Taleban cha huko Afghanistan". Kauli hizo ni za kweli kiasi gani hasa kwa hali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii takribani miezi miwili tu baada ya uchaguzi. Tujadili hali halisi ya watanzania kuelekea mwisho wa mwaka kwa kuzingatia matukio ya hivi karibuni.
Naomba kuwasilisha

Naikumbuka hii hotuba ya Dr Slaa. Na kweli hakukosea maana maafa hayo yanaanza taratibu baada ya miezi michache tu toka kumalizika kwa uchaguzi kwa kupandishwa bei ya umeme kwa 18.5 na hii itafanya bei ya bidhaa mbali kupanda sana ikiwemo pia vyakula na kuongeza hali ngumu ya maisha kwa Watanzania walio wengi. Sasa tusubiri kwenye majaliwa tuone hali itavyokuwa mbaya zaidi baada ya miaka 5.

 
Ndg wana JF,
leoa nipo Dodoma kikazi, niliyoyashuhudia na kuyasikia yamenifanya nifikirie mara mbili, wananchi wengi walipumbazwa au kuibiwa walipoichagua ccm.
Nilienda jioni hii sehemu moja ya kuuza chakula inaitwa WIMPY, ni mgahawa maarufu sana hapa mjini Dodoma kwa chakula. Bei za karibu kila kitu zimepanda, mfano wali nyama toka 2000/2500 mpaka 3000/3500. Soda , maji, na hata bia. Vyote vimepanda. Wananchi wengi wanasikitika sana ccm kuwa madarakani hata kutoa maneno ya laana kwa walioichagua.
Hii ya Dodoma ni kama sample ya hyper Inflation inayotarajiwa kutokea kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa muhimu, sasa mapema wananchi wengi wameanza kulalama hata siku 100 hazijapita. Pamoja na kwamba dodoma imezoeleka kuwa ni ngome ya ccm, mapinduzi makubwa nayaona kwa jinsi wananchi wanavyohamasika. "Rai Yangu, naionya ccm isipobadilika watanzania watawatema soon".
Wadau nawakilisha
 
Ukifikiri elimu ni ghali jaribu ujinga. Hapa ni ujinga unaowakaanga na bado sina huruma wala sikitiko kwa walalamikaji.
 
Mnadani ulifanikiwa kwenda...., bei ya nyama huko ikoje..... inflation ( cost of living due to price rise of commodities) affects not only Dodoma
 
Ndg wana JF,
leoa nipo Dodoma kikazi, niliyoyashuhudia na kuyasikia yamenifanya nifikirie mara mbili, wananchi wengi walipumbazwa au kuibiwa walipoichagua ccm.
Nilienda jioni hii sehemu moja ya kuuza chakula inaitwa WIMPY, ni mgahawa maarufu sana hapa mjini Dodoma kwa chakula. Bei za karibu kila kitu zimepanda, mfano wali nyama toka 2000/2500 mpaka 3000/3500. Soda , maji, na hata bia. Vyote vimepanda. Wananchi wengi wanasikitika sana ccm kuwa madarakani hata kutoa maneno ya laana kwa walioichagua.
Hii ya Dodoma ni kama sample ya hyper Inflation inayotarajiwa kutokea kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa muhimu, sasa mapema wananchi wengi wameanza kulalama hata siku 100 hazijapita. Pamoja na kwamba dodoma imezoeleka kuwa ni ngome ya ccm, mapinduzi makubwa nayaona kwa jinsi wananchi wanavyohamasika. "Rai Yangu, naionya ccm isipobadilika watanzania watawatema soon".
Wadau nawakilisha
Angalizo: Kikwete alichakachua matokeo! Hakushinda! Hivyo wasijilaumu, walifanya kazi nzuri tu!
 
Inasikitisha kuona watz maskini ambao wengine hata kula yao ni ishu ndo walikuwa mbele kupinga sera za kuwakomboa,sasa cha moto wanakipata,siwahurumii tusenti twa kula milo 3 sikosi pamoja na vijana kwenda shule,wao sasa wameshaanza kupita na vikaratasi kuomba mchango mtoto kafaulu kwenda fm1 shule ya kata
 
Mnadani ulifanikiwa kwenda...., bei ya nyama huko ikoje..... inflation ( cost of living due to price rise of commodities) affects not only Dodoma

mnadani nimefika j2, ile boxing day ndg yangu, bei nako imepanda kilo iliyokuwa 3500 sasa ni elfu 5. Nakwambia ni balaa, ila mapigo haya yanaashiria ule ukombozi halisi umekaribia
 
Watanganyika tunahitaji ukombozi wa kweli na hap ndipo tutaachana vizuri na lisisiemu lao. Kwanza tudai Taganyika yetu
 
Acha wafe c waliichamua wenyewe,naombea hali iwe ngum wakome kuchagua vyama maneno co vtendo
 
Acha wafe c waliichamua wenyewe,naombea hali iwe ngum wakome kuchagua vyama maneno co vtendo

Mateso wanayoyapata watanzania inaweza kuwa ni baraka kwa Taifa letu ili wananchi watafakari kama ndiyo maisha wanayoyataka, na pia wajue athari inayoweza kutokea mnapokuwa na uongozi dhaifu. Ingekuwa inawezekana ningependa watoto na vikongwe wasiteseka maana hawastahili.
 
Ndg wana JF,
leoa nipo Dodoma kikazi, niliyoyashuhudia na kuyasikia yamenifanya nifikirie mara mbili, wananchi wengi walipumbazwa au kuibiwa walipoichagua ccm.
Nilienda jioni hii sehemu moja ya kuuza chakula inaitwa WIMPY, ni mgahawa maarufu sana hapa mjini Dodoma kwa chakula. Bei za karibu kila kitu zimepanda, mfano wali nyama toka 2000/2500 mpaka 3000/3500. Soda , maji, na hata bia. Vyote vimepanda. Wananchi wengi wanasikitika sana ccm kuwa madarakani hata kutoa maneno ya laana kwa walioichagua.
Hii ya Dodoma ni kama sample ya hyper Inflation inayotarajiwa kutokea kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa muhimu, sasa mapema wananchi wengi wameanza kulalama hata siku 100 hazijapita. Pamoja na kwamba dodoma imezoeleka kuwa ni ngome ya ccm, mapinduzi makubwa nayaona kwa jinsi wananchi wanavyohamasika. "Rai Yangu, naionya ccm isipobadilika watanzania watawatema soon".
Wadau nawakilisha

Ngoja waipate moto moto ndio wakome
 
Ndg wana JF,
leoa nipo Dodoma kikazi, niliyoyashuhudia na kuyasikia yamenifanya nifikirie mara mbili, wananchi wengi walipumbazwa au kuibiwa walipoichagua ccm.
Nilienda jioni hii sehemu moja ya kuuza chakula inaitwa WIMPY, ni mgahawa maarufu sana hapa mjini Dodoma kwa chakula. Bei za karibu kila kitu zimepanda, mfano wali nyama toka 2000/2500 mpaka 3000/3500. Soda , maji, na hata bia. Vyote vimepanda. Wananchi wengi wanasikitika sana ccm kuwa madarakani hata kutoa maneno ya laana kwa walioichagua.
Hii ya Dodoma ni kama sample ya hyper Inflation inayotarajiwa kutokea kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa muhimu, sasa mapema wananchi wengi wameanza kulalama hata siku 100 hazijapita. Pamoja na kwamba dodoma imezoeleka kuwa ni ngome ya ccm, mapinduzi makubwa nayaona kwa jinsi wananchi wanavyohamasika. "Rai Yangu, naionya ccm isipobadilika watanzania watawatema soon".
Wadau nawakilisha


ccm kubadilika ni ndoto.

kama kuna badiliko ccm wanaweza kufanya ni lile la from bad to worse
sema jingine.
 
waberoya ndg yangu, this is nt a jock. ni kweli watu wengi mtaani wanailalamikia serikali iliyopo madadarakani kutokana na kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei na kupanda kwa gharama za maisha. labda kama wewe huwasikii
 
waberoya ndg yangu, this is nt a jock. ni kweli watu wengi mtaani wanailalamikia serikali iliyopo madadarakani kutokana na kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei na kupanda kwa gharama za maisha. labda kama wewe huwasikii

watu wenye shida huwa hawaongei yakhe!!! sema jingine, watanzania hawa watu wa ajabu sana, kwa taarifa yako, huku wanalalamika huku wanatimiza matakwa ya wakubwa, wakiulizwa eti ..busara...amani....mshikamano

wenye shida hawaongei! kitapanda kitakuwa 3500 they will pay itakuwa usku itakuwa mchana mwaka 2015!!
 
Back
Top Bottom