Waungwana leo nimelazimika kuwakumbusha hotuba ya Mh Dr Slaa pale Mwembeyanga siku tatu hive kabla ya uchaguzi. Alisema "kuchagua CCM ni maafa" na "CCM ni sawa na kikundi cha Taleban cha huko Afghanistan". Kauli hizo ni za kweli kiasi gani hasa kwa hali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii takribani miezi miwili tu baada ya uchaguzi. Tujadili hali halisi ya watanzania kuelekea mwisho wa mwaka kwa kuzingatia matukio ya hivi karibuni.
Naomba kuwasilisha
Naomba kuwasilisha