Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
WADAU...SIO VIBAYA KUKUMBUSHANA 'KAULI HII YA BUSARA ILIYOTOLEWA NA MWENYE KUONA MBALI!
[h=2]Dr slaa aliposema kuchagua JK na CCM ni maafa kwa taifa, ni nini? Ni ukweli?[/h]
Asilimia 85 ya Watanzania na hasa wale wanaoishabikia na kuichagua CCM wanaishi katika taabu, shaka na maisha magumu kuliko raia wowote wa nchi yetu hii ambayo Mungu amaibariki kuwa na kila aina ya neema. Ila tu wananchi wanashindwa kufikiria, au wanakuwa wavivu kufikiria na kuamua ili wawapate viongozi makini na wenye uchungu.
Ikichukua mfano mdogo wa Majimbo yaliyo chini ya Vyama ambayo havina Serikali kwa sasa mfano Karatu na Moshi Mjini, Tarime (Chadema), na Bariadi (UDP) nk, utagundua kuwa wananchi wengi wana ufahamu mkubwa na wamejikwamiua sana kimaendeleo, mfano jimbo la Karatu pekee, wananchi karibu kila kona wana huduma za maji safi, afya, barabara, shule za hali ya juu achilia mbali vitega uchumi na kipato bora.
Ukichukua Jimbo lolote la Wilaya ya Bagamoyo; and Mkoa wa Pwani - ambako ndio Kikwete amekuwa Mbunge kwa Miaka zaidi ya 20, utapata picha halisi ya ni kwa nini kuichagua tena CCM na JK ni maafa kwa taifa. Shule hakuna kitu, afya hakuna kitu, maji ndio usithubutu kutaja, Makazi ni nyasi na msonge kila kona, barabara ni ZERO, achilia mbali huduma nyingine za kijamii zilivyokufa.
Mbali na Hayo yote na taabu ambazo ndiyo zimetapakaa tanzania nzima, CCM ikiongozwa na Wabunge wao wengi wajejipitishia maslahi na malipo yasiyokuwa na kifani, pasipo hata kufikiria lolote kuhusu taabu hizi za watanzania umati kwa umati waliowaweka madarakani . Kosa kubwa zaidi ni kwa Watanzania hawa hawa na taabu za kupumbazwa na CCM iyo hiyo, na kuendelea kuishi katika hali hii ya dhiki kuu, na kuendelea kuwachagua kwa kupewa vijizawadi vya T-shirt, khanga na labda sh 2000 au 5000 ili wawapigie kura, bila kujitambua kuwa wanarudishwa tena katika lindi na ukiwa ule-ule kwa miaka mingine mi-5 baada ya uchaguzi.
Hii ni Laana na aibu, ba sasa watanzania wote tunatakiwa kusema sasa basi, kuendelea kuichagua CCM na JK ni maafa kwa Taifa letu ma Laana itatoka kwa Mungu kutuadhibu kwa kupenda wenyewe kuiangamiza nchi yetu mikononi mwa walafi, mafisadi, wabinafsi na watawala waovu wasioona mbali.
Picha zifuatazo zinaonyesha ni kwa nini tusipoamua sasa tutaingia katika MAAFA mengine kitaifa kwa miaka mingine mi-5 ijayo, na historia itatuhukumu kwa matendo yetu na kushindwa kuchagua kwetu.
View attachment 15738 View attachment 15734 View attachment 15739
Wanafunzi wakiwa darasani, Madarasa ya nyasi yanaonekana na pia makazi ya dhiki ya mwanachi - Mtanzania
Haya ndio Maisha ya Wazazi wetu wapendwa waliotupigania Uhuru na kutulea??
View attachment 15736
Wajawazito na Huduma za Hospitali, wagonjwa wetu wanalala chini au katika vitanda vya kamba. Huduma Bora??
Familia na watoto wanaishi maisha gani na wanapata lishe gani na katika mazingira gani??
Bado Watanzania wengi wamedoofika,hawajitambui, wamepoteza matumaini, Ni maafa haya yaliyowakumba lakini bado wanachagua CCM???
View attachment 15737
Watanzania wanapohangaika na kudhoofika kwa kiasi hiki, Je Wabunge (ambayo karibu wote ni CCM) wamejihalalishia marupurupu na malipo kiasi gani?? Rai ilitoa taarifa ya hali halisi. Na endapo ni ngumu kuifafanua hali hii, Tazama ufafanuzi unavyoweza kuonyesha Wabunge wanalipwa kiasi gani!
[h=2]Dr slaa aliposema kuchagua JK na CCM ni maafa kwa taifa, ni nini? Ni ukweli?[/h]
Asilimia 85 ya Watanzania na hasa wale wanaoishabikia na kuichagua CCM wanaishi katika taabu, shaka na maisha magumu kuliko raia wowote wa nchi yetu hii ambayo Mungu amaibariki kuwa na kila aina ya neema. Ila tu wananchi wanashindwa kufikiria, au wanakuwa wavivu kufikiria na kuamua ili wawapate viongozi makini na wenye uchungu.
Ikichukua mfano mdogo wa Majimbo yaliyo chini ya Vyama ambayo havina Serikali kwa sasa mfano Karatu na Moshi Mjini, Tarime (Chadema), na Bariadi (UDP) nk, utagundua kuwa wananchi wengi wana ufahamu mkubwa na wamejikwamiua sana kimaendeleo, mfano jimbo la Karatu pekee, wananchi karibu kila kona wana huduma za maji safi, afya, barabara, shule za hali ya juu achilia mbali vitega uchumi na kipato bora.
Ukichukua Jimbo lolote la Wilaya ya Bagamoyo; and Mkoa wa Pwani - ambako ndio Kikwete amekuwa Mbunge kwa Miaka zaidi ya 20, utapata picha halisi ya ni kwa nini kuichagua tena CCM na JK ni maafa kwa taifa. Shule hakuna kitu, afya hakuna kitu, maji ndio usithubutu kutaja, Makazi ni nyasi na msonge kila kona, barabara ni ZERO, achilia mbali huduma nyingine za kijamii zilivyokufa.
Mbali na Hayo yote na taabu ambazo ndiyo zimetapakaa tanzania nzima, CCM ikiongozwa na Wabunge wao wengi wajejipitishia maslahi na malipo yasiyokuwa na kifani, pasipo hata kufikiria lolote kuhusu taabu hizi za watanzania umati kwa umati waliowaweka madarakani . Kosa kubwa zaidi ni kwa Watanzania hawa hawa na taabu za kupumbazwa na CCM iyo hiyo, na kuendelea kuishi katika hali hii ya dhiki kuu, na kuendelea kuwachagua kwa kupewa vijizawadi vya T-shirt, khanga na labda sh 2000 au 5000 ili wawapigie kura, bila kujitambua kuwa wanarudishwa tena katika lindi na ukiwa ule-ule kwa miaka mingine mi-5 baada ya uchaguzi.
Hii ni Laana na aibu, ba sasa watanzania wote tunatakiwa kusema sasa basi, kuendelea kuichagua CCM na JK ni maafa kwa Taifa letu ma Laana itatoka kwa Mungu kutuadhibu kwa kupenda wenyewe kuiangamiza nchi yetu mikononi mwa walafi, mafisadi, wabinafsi na watawala waovu wasioona mbali.
Picha zifuatazo zinaonyesha ni kwa nini tusipoamua sasa tutaingia katika MAAFA mengine kitaifa kwa miaka mingine mi-5 ijayo, na historia itatuhukumu kwa matendo yetu na kushindwa kuchagua kwetu.
View attachment 15738 View attachment 15734 View attachment 15739
Wanafunzi wakiwa darasani, Madarasa ya nyasi yanaonekana na pia makazi ya dhiki ya mwanachi - Mtanzania
Haya ndio Maisha ya Wazazi wetu wapendwa waliotupigania Uhuru na kutulea??
View attachment 15736
Wajawazito na Huduma za Hospitali, wagonjwa wetu wanalala chini au katika vitanda vya kamba. Huduma Bora??
Familia na watoto wanaishi maisha gani na wanapata lishe gani na katika mazingira gani??
Bado Watanzania wengi wamedoofika,hawajitambui, wamepoteza matumaini, Ni maafa haya yaliyowakumba lakini bado wanachagua CCM???
View attachment 15737
Watanzania wanapohangaika na kudhoofika kwa kiasi hiki, Je Wabunge (ambayo karibu wote ni CCM) wamejihalalishia marupurupu na malipo kiasi gani?? Rai ilitoa taarifa ya hali halisi. Na endapo ni ngumu kuifafanua hali hii, Tazama ufafanuzi unavyoweza kuonyesha Wabunge wanalipwa kiasi gani!