Huu ni wakati wa kuhinua uchumi wa nchi yetu TANZANIA.
Lazima Serilikali hitumie kila mbinu kuhinua hali ya maisha ya wananchi.
Kwa sasa hivi Tanzania uchumi wetu mkubwa unatokana na kilimo.
Kwahiyo serikali lazima hitafute njia zingine zaidi kuhingiza mapato na hajira zaidi.
Nafikiri tatizo kubwa zaidi ktk nchi yetu ni hajira kuwepo na mikutano namna la kutatua tatizo hilo.
Sasa hivi tuna wasomi na wanauchumi lazima wakae pamoja nakufafanua na jinsi ya kuwasidia wananchi .
Lazima Serilikali hitumie kila mbinu kuhinua hali ya maisha ya wananchi.
Kwa sasa hivi Tanzania uchumi wetu mkubwa unatokana na kilimo.
Kwahiyo serikali lazima hitafute njia zingine zaidi kuhingiza mapato na hajira zaidi.
Nafikiri tatizo kubwa zaidi ktk nchi yetu ni hajira kuwepo na mikutano namna la kutatua tatizo hilo.
Sasa hivi tuna wasomi na wanauchumi lazima wakae pamoja nakufafanua na jinsi ya kuwasidia wananchi .