Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Samahani wakubwa, niliuwa na swali naomba kuuliza mnisaidie humu ndani, najua humu kuna wanasheria, ma estate agents, na watu wengine wengi wenye uzoefu tofautitofauti.
NIFANYEJE ILI NISIINGIZWE MJINI, pindi ninapotaka kununua nyumba au kiwanja Tz?, ni vitu gani ninatakiwa kuhakikisha kuwa navyo, na kuwa na uhakika kuwa hicho kitu ninachonunua siyo scam. wengi hapa tume save vijisent kidogo, na tunataka kununua nyumba na viwanja, ila uwoga wajameni kuingizwa mjini. naomba mwenye uzoefu atueleze nini cha kuzingatia ili iwasaidie na wengine wengu humu ndani. asante.
NIFANYEJE ILI NISIINGIZWE MJINI, pindi ninapotaka kununua nyumba au kiwanja Tz?, ni vitu gani ninatakiwa kuhakikisha kuwa navyo, na kuwa na uhakika kuwa hicho kitu ninachonunua siyo scam. wengi hapa tume save vijisent kidogo, na tunataka kununua nyumba na viwanja, ila uwoga wajameni kuingizwa mjini. naomba mwenye uzoefu atueleze nini cha kuzingatia ili iwasaidie na wengine wengu humu ndani. asante.