nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
hot topic,Mx
We dogo unatafuta nini hapa
hot topic,Mx
Even when performed by a male Gynecologist the presence of a female professional (Med Doctor au hata Nurse) is required.
Furthermore walitakiwa kumwambia about all other alternatives that exist to that examination method...
Kama kupima njia wakati wa mimba sawa ingawa sheria inamtaka mkunga wa kike afanye hivyo, ni wakati umefika sasa iundwe sheria kuwalinda wagonjwa na ikiwezekana mambo ya magonjwa ya wanawake na hasa yanayohusisha kufanyiwa mambo kama hayo yafanywe na Daktari mwanamke, siku hizi ni hatari maana watu wanatawaliwa zaidi na tamaa za ngono hata katika fani kama hizo nyeti, haipandi kichwani katika kipimo hicho alichofanya huyo daktari, na sheria ianataka nesi awepo katika mazingira kama hayo, inasikitisha sana, na kukatisha tamaa
Mbona nipo kitambo,MxWe dogo unatafuta nini hapa
Mirembe wamepungua, matokeo yake wamejaa mtaani...Vipi wewe ulitaka ukuingizie nini badala ya kidole ili ufurahi??
Leo nlienda dispensary, nikiwa nahisi maumivu makali kwenye kipofu, nlihisi ni UTI (sijui kitaalam), baada ya kumweleza doctor tatizo langu aliniambia nivue nguo zote kisha nipande kitandani. Kilichonikera zaidi ni kwamba alivaa gloves, na kuniingizia vidole kwenye uke, kimsingi alikuwa ananiumiza, nlipo mweleza akaniambia hayo ni mambo ya kawaida huku, kisha akasema alikuwa anachek kama kuna uchafu.
kama mwanamke mwenzio hamna ubaya wowote usiwe na shaka. pia alikuwa anacheki kama una uvimbe ndani ndo maana vidole vikafanya kazi.
Kwa mwanamke ukishasema tumbo linauma your very complex, kwa kawaida lazima akuulize kama kuna uchafu unatoka ukeni, unapokojoa mkojo unauma, unaharisha au unajua vidonda vya tumbo. Yote haya yanaweza sababisha maumivu chini ya kitovu.
Wanawake almost 90% ukitoka uchafu mweupe kama maziwa yaliyo ganda watakwambia uchafu wa kawaida. Infact hii ni fungus na inasababisha sana maumivu chini ya kitovu. Dr asipochunguza kwa kuweka vidole ukeni unaweza ukanywa madawa aina zote na usipone. Kwa hiyo dada hii ni kawaida. Juzi kuna dada kaja na maumivu kama yako na akiulizwa kama kunauchafu unatoka anakataa nilipompima nilikuta uji umejaa balaa sijui hata mumewe anaenjoy vp na ile miuji.
Lakini huruhusiwi kuingiza vidole kwa binti ambaye ni bikra coz eneo la ukeni huwa tunaamini ni safi na si busara kuvuja bikra ya watu.
Wakati mwingine kuna masister do wanakuja wanaringa na dharau au warembo watu kama hawa wakija akikaa vibaya nampiga finger.
Pole kama hukuandaliwa kawaida Dr anatakiwa kuseek consent kwako mpaka ukubali ukikataa harusiwi kukufanyia kipimo chochote bila ridhaa yako. Be blessed.
Kwa mwanamke ukishasema tumbo linauma your very complex, kwa kawaida lazima akuulize kama kuna uchafu unatoka ukeni, unapokojoa mkojo unauma, unaharisha au unajua vidonda vya tumbo. Yote haya yanaweza sababisha maumivu chini ya kitovu.
Wanawake almost 90% ukitoka uchafu mweupe kama maziwa yaliyo ganda watakwambia uchafu wa kawaida. Infact hii ni fungus na inasababisha sana maumivu chini ya kitovu. Dr asipochunguza kwa kuweka vidole ukeni unaweza ukanywa madawa aina zote na usipone. Kwa hiyo dada hii ni kawaida. Juzi kuna dada kaja na maumivu kama yako na akiulizwa kama kunauchafu unatoka anakataa nilipompima nilikuta uji umejaa balaa sijui hata mumewe anaenjoy vp na ile miuji.
Lakini huruhusiwi kuingiza vidole kwa binti ambaye ni bikra coz eneo la ukeni huwa tunaamini ni safi na si busara kuvuja bikra ya watu.
Wakati mwingine kuna masister do wanakuja wanaringa na dharau au warembo watu kama hawa wakija akikaa vibaya nampiga finger.
Pole kama hukuandaliwa kawaida Dr anatakiwa kuseek consent kwako mpaka ukubali ukikataa harusiwi kukufanyia kipimo chochote bila ridhaa yako. Be blessed.
Huu ni udharirishaji na wanaolitetea jambo hili wana matatizo ya akili, dada nenda tume ya haki za binadamu au TAMWA watakupa msaada zaidi lazima akamatwe huyo mshenzi kigunia
polee sana, next time usiende dispensary nenda hospital, hao wa dispensary ni M.O tu , unahitaji diagnosis by MD.