Dhamani = Thamani
you understood the meaning even before you pretend to correct a negligible typing fault
Toka huko! muhimu ameeleweka, kama unadhani umefuzu kaombe kazi bakita na si kujaza server humu jamvini...
Punguza ghadhab! Elimu haina mwisho.
elimu utumbo mi siitaki. unanchekesha! kwanza hicho ni kiswahili cha mazungumzo cha kenya, wengi hutumia dh mahali pa th, mfano dhamani, dhibitisha n.k. nakushangaa wewe unayeacha kuchangia hoja msingi, unaenda kwenye periferali ya hoja. au umetumwa kuharibu minakasha? unanchekesha!
Anaongelea shillingi ya Tanzania atusemee Kikenya? Kikenya huko mashada sio humu.
Anaongelea shillingi ya Tanzania atusemee Kikenya? Kikenya huko mashada sio humu.