Kuibuka kwa 'BIBI' Tabora kunaashiria nini?

This is now going worse! Inaonekana watu hawa walikuwa wengi, wa kuanza ndiye alikosekana. What is the source of these healing powers? Kumbuka Yesu alisema watatokea manabii wa uongo na kufanya ishara nyingi na kuwadanganya wengi. Now I get the picture! Akina Mariavictima wako wapi sasa? Kumbuka alivyomtukana miss Judith!

na bado mpendwa. nimeishatukanwa na wengi sana. Mungu tu ndiye anayenitia nguvu, vinginevyo ningeishakimbia JF. kadiri ukweli unavyozidi kudhihirika, tutegemee wengi tu kuingia mitini!

ee Bwana, neno lako taa yangu
limezifanya njia zangu kuwa angavu mbele yangu
daima nitalihimidi jina lako
 
Thanks to God Hollyspirit is alive so acha wajichore kwanza, maana tumeongea mpaka sauti zimekauka kwamba hakuna tiba nje ya jina la Yesu kwa nguvu ya roho mtakatifu watu waka m ignore roho anayeishi ndani yao nakuamini ukuu wa kikombe kwa jina la yesu wa kuchongwa! Hata kama imani inakuwa ngumu kuipata thru neno basi science itusaidie maana yenyewe tumepewa kusolve carnal problems!

Ukiona mtu anakimbia huku na kule eti akidai ni imani basi ujue hata hiyo imani hajaijua bado. Kama unaamini nivipi ushindwe kuamini roho aliye ndani yako na kuamini roho iliyo ndani ya mtu mwingine? Kwenye old testament tunasoma Mungu akisema siku zile sintaandika sheria yangu katika mbao bali katika mioyo yao...inasikitisha hata baada ya Yesu kuileta sheria hiyo ndani ya mioyo bado watu wanataka kutumia sheria inferior ya mbao ambazo zilivunjika enzi hizo Musa alipozitupa chini baada ya kukasirishwa na wana wa isarael kwa ibaada zao za sanamu.

Tulieni katika uwepo wa mungu ambaye Yesu ametuambia tumwabudu katika roho na kweli. Ni bora tufe kwa magonjwa ya mwili kuliko kufa kiroho na kurushwa rushwa kama makapi na imani za dunia hii ambazo ziko kumdhalilisha mwanadamu. Mungu anapata utukufu gani pale Loliondo? Nature inaharibiwa, watu wanakufa kila leo na bado kukaa masaa yote bila kula wala kunywa for something which you can easly get in you bila hata kumsujudia mtu. Hivi hamuoni kuwa mnamsujudia Babu kwa kufuata masharti yake magumu ya yy pekee kugawa kikombe? Dont you see he is maqking himself a god? Is he not an idol?

You have explained it well, anayetaka kusikia na asikie. I am just shocked with this wind of people believing so easily. People are failing to understand healing is not a measure of God. I am not moved by signs and wonders because even the devil can do that. I am moved by the word of God inside me. It is the only weapon that will enable me to know what is wrong and right. May our God help us to discern the spirit.

wakuu, nawashukuru sana kwa mawazo haya. hakika neno la Mungu pekee ndilo lenye ufunuo wa kweli na wamwabuduo Bwana humwadu katika roho na kweli.

nawatia shime wote wanaosema kuwa "time will tell" kuwa wakristo hatupaswi kuiachia "time" ituambie ni nini yaliyo mapenzi ya Mungu. sisi tumepewa neno na hilo ndilo lenye ufunuo mkamilifu na ndilo taa ya miguu yetu.

kila asikiaye maneno yangu na kuyafanya amefanana na mtu aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba,
lakini yeye asikiaye maneno yangu asiyatende amefanana na mtu aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga
pepo na mawimbi vitakapoipiga, kishindo cha kuanguka kwake kitakuwa kikuu
 
Kama ni nguvu za shetani, nyie wenye nguvu za Roho Mtakatifu, kwanini mnapoteza muda humu, badala ya kukesha mkifunga na kuomba ili hayo mapepo yawatoke?

Humu JF, what can be done. Stop complaining kama JK and do something!

Inatosha sasa, wanaoamini waamini na wasioamini muwaache, hakuna mtoto humu ambaye hajui cha kufanya, unless mtu kaomba ushauri.
 
Back
Top Bottom