Apta Kayla
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 324
- 71
Ameibuka mama anaetoa tiba ya kikombe huko Tabora kwa gharama ya TSH 500, ni muumini wa kikristo {haikutajwa kanisa gani} anatoa maombi kabla ya kikombe. Watu wengi wameonekana kwenye foleni wakisubiri tiba.
Source ITV Hapa na Pale leo.
Je, hii inaashiria nini? WaTZ wengi tuna magonjwa sugu yaliyoshindikana hosptalini?
Wa TZ tumepoteza imani na tiba za Hospitali zetu, au .....?
Source ITV Hapa na Pale leo.
Je, hii inaashiria nini? WaTZ wengi tuna magonjwa sugu yaliyoshindikana hosptalini?
Wa TZ tumepoteza imani na tiba za Hospitali zetu, au .....?