Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,696
kwani kanisa linatumiwa na nani ?? waafrika ??? kwani uarabu ni udini ??
wrong thought !!!wrong idea !!! wrong time!!! wrong place!!!
With all due respect.........I salute you sir!
kwani kanisa linatumiwa na nani ?? waafrika ??? kwani uarabu ni udini ??
wrong thought !!!wrong idea !!! wrong time!!! wrong place!!!
hoja yako ni hoja mfu kabisa; kuna kasoro nyingi za muungano ambazo mimi niliyezaliwa miaka ya sabini ninaziona na siwezi kuwa **** kwa kukumbatia makosa ya babu zangu. Waulize Sudan kusini waliozaliwa katika Sudan moja ni kwa nini waliamua kujiondoa, kisha uje tena na hoja yenye maana. Bora malaika nisiyemjua kwa kuwa siku zote malaika ni mwema, kulikoni shetani yoyote. Wewe na mashetani wenzakomnaopendelea muungano kwendeni zenu. Wana uamsho z'bar wana matatizo yao pamoja na njaa lakini sisi watanganyika una hoja za msingi kuidai Tanganyika yetu.
Post union days(Mungu tu epushe), Tanganyika is more likely to fall into religious polarization/strife unlike Zanzibar which is 'religiously' homogeneous being 99 % Islam.
Mkuu naona umekuja kushambulia character kuliko kujibu hoja! Wewe Utanzania wako una mashaka zaidi kwa kuwa huoni kuwa tunakoelekea ni hatari kwa mustakabali na mshikamano wa taifa letu! Unafikiri Muungano ukivunjika tu basi matatizo yatakuwa yameisha! Kawaulize UAMSHO kama tatizo lao ni Muungano kuvunjika tu basi, hakuna ajenda nyingine. Na tatizo lako unafikiri ni wale waandamanaji tu, ukweli ni kwamba kuna mkono wa viongozi wa Serikali na msukumo kutoka nje! Watu wadogowadogo kama wewe maskini mmechukuliwa tu na upepo! Pole sana!!Mkuu, kwa kawaida ukianzisha mada basi unajivika jukumu la kuratibu mjadala in a fair and objective manner. Kama mwanzishaji mada na kwa hiyo mwendeshaji majadiliano hukupashwa kuwa wa kwanza kurusha kauli za kashfa kwa wachangiaji. Hapo pekundu pamekutambulisha kama ifuatavyo:
Kama niliyoandika juu yako hapo juu hayakuhusu basi napata mashaka sana kama wewe kweli ni mtanzania na unayeishi ndani ya mipaka ya nchi hii.
- Una tabia ya udictator na unadhani uonavyo wewe basi ndiyo ukweli. Who are you hata ujidhani kuwa mtazamo wako ndiyo bora kuliko wa wengine?
- Wewe yumkini ni tunda na sehemu ya uozo ambao watanzania tunataka sasa kuuondoa. Mwenye akili timamu katu hawezi kukubaliana na kichwa cha habari ulivyokiweka: "Kuhusu Utanganyika: Shetani Unayemjua ni Bora Kuliko Malaika Usiyemjua!" Katika hili shetani ni nani na malaika ni nani? Unataka kusema kwa kuwa chama fulani (kwa mfano) ndo kimetawala miaka mingi hata kama kimepoteza dira na watu wanaona nchi inaenda vibaya tukiache kitawale milele kwa sababu ndiyo shetani tunayemjua? Infalibility ya muungno wa namna hii imeletwa na malaika yupi?
Inawezekana ndio menyewe! Mzee vetu ana IDs za akiba.unarecycle post za mwanakijiji
Wakuu,
Watanzania wengi wamezaliwa baada ya Aprili 26, 1964 kwa hiyo hawaijui Tanganyika, wanasoma tu kwenye makabrasha. Kama hiyo si sahihi sasa basi Watanganyika walioishi Tanganyika huru iliyodumu kwa miaka takriban 4 (1961-1964)
Nawasilisha!!
Kabla ya Wajerumani hakukuwa na nchi inayoitwa Tanganyika. Na wakati wa utawala wa Wajerumani kulikuwa na Deutsche Ostafrika, ikiwa na maana ya Afrika Mashariki ya Kijerumani, iliyojumuisha Rwanda na Burundi.Tanganyika ipi unayoifahamu wewe?