Wakuu,
kutokana na uchunguzi mdogo niloufanya nimegundua kuwa siku za hivi karibuni kumekuwa na idadi kubwa ya watu(hapa Tanzania) kufa kwa ugonjwa wa moyo......so nilikuwa naomba kujuzwa vyanzo vya ugonjwa huu na namna ambavyo tunaweza kujizuia nao...:help:
kutokana na uchunguzi mdogo niloufanya nimegundua kuwa siku za hivi karibuni kumekuwa na idadi kubwa ya watu(hapa Tanzania) kufa kwa ugonjwa wa moyo......so nilikuwa naomba kujuzwa vyanzo vya ugonjwa huu na namna ambavyo tunaweza kujizuia nao...:help: