kuhusu tigo

mbojeinc

Member
May 31, 2011
18
1
nimenunua line mpya ya tigo iliyosajiliwa nimeiwekea kifurushi cha wiki nikiiweka kwenye modem na ku connect inaniambia connection terminated. Tatizo kama hili linasababishwa na nini?
 
step ipi hiyo mkuu maana hata hao customer care wameshindwa kunipa msaada mpaka nikaenda mlimani city 3 july wakaniambia watanijulisha lakini wapi mpaka leo kimya!!
 
step ipi hiyo mkuu maana hata hao customer care wameshindwa kunipa msaada mpaka nikaenda mlimani city 3 july wakaniambia watanijulisha lakini wapi mpaka leo kimya!!
sijawahi tumia modem ya tigo lakini umejaribu kui uninstall kisha install upya
 
Mkuu, ingekuwa vizuri ungetuelekeza kiundani ulitumia njia zipi kujiunga naicho kifurushi cha wiki, je ulituma SMS au ulitumia dashboard ya tigo kujiunga na hiyo huduma? pia isije kuwa profile unayotumia ku-connect kwenye mtandao ina kasoro au umeibadilisha kima kosa,
 
Umenunua line ya tigo ya kawaida au ya moderm maana ziko za aina mbili. Ukinunua ya kawaida inakubali lakini inakula sana pesa walivyonishauri mimi sijajaribu. So wakanambia ninunue line ya moderm na ninajiunga na kifurushi cha 45,000 Tshs cha mwezi kwa raha msitarehe haina shida kabisa
 
Umenunua line ya tigo ya kawaida au ya moderm maana ziko za aina mbili. Ukinunua ya kawaida inakubali lakini inakula sana pesa walivyonishauri mimi sijajaribu. So wakanambia ninunue line ya moderm na ninajiunga na kifurushi cha 45,000 Tshs cha mwezi kwa raha msitarehe haina shida kabisa

Hakuna line ya kawaida na ya modem, zote ni sawa tu. Walikuingiza mjini tu hao jamaa wakitaka ununue line na ujiunge na kifurushi wanachotaka wao.
 
Umenunua line ya tigo ya kawaida au ya moderm maana ziko za aina mbili. Ukinunua ya kawaida inakubali lakini inakula sana pesa walivyonishauri mimi sijajaribu. So wakanambia ninunue line ya moderm na ninajiunga na kifurushi cha 45,000 Tshs cha mwezi kwa raha msitarehe haina shida kabisa
mhh elfu arobaini na tano kumbe tigo wanaviwango vya juu eheee!pole zako
 
nilitumia dashboard ya tigo na software haina tatizo kwa sababu nikitumia line yangu ya tigo ninayotumia kwenye simu ina connect!*
 
Back
Top Bottom