mbona wengine tumeingia kwenye profile zetu hakuna kilchobadilka na sasa hv nikijarb naambiwa sever timed out??????
msaada kwa anaejua tafadhali!!!!!!!!!!
Hao wanayaona kwenye vyuo walivyopangiwa na sio kupitia account zao za tcu na tcu watazifungua account za kisha ndio muweze kuona vinginevyo subiria kila chuo wakitoa majina kama ulikichagua jiangalie huko kama la subiria chuo utapata usiteseke ndivyo inavyokuaga miaka yote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.