Jamani mimi naomba mnisaidie mwaka huu nimeomba chuo kupitia tcu mpaka sasa my selection status inaonyesha not yet processed,inamaana muda bado au ndiyo imekula kwangu.
bado mapema sana mkubwa subiri mpaka mwezi wa tisa achakuwa na haraka...selection status yako itabadilika mwezi wa tisa
Jamani mimi naomba mnisaidie mwaka huu nimeomba chuo kupitia tcu mpaka sasa my selection status inaonyesha not yet processed,inamaana muda bado au ndiyo imekula kwangu.
So tunaweza kuendelea kulogin?? au itafikia kipindi tutashindwa???
kama ulisoma Mwananchi sometime last week walisema selection itatoka kuanzia 15th July 2012. Kuwa na subira. click kwenye my profile, then my selection status, then click code utaona competition ikoje. Wangapi wameapply, eligible, not eligible and 1st choices.
kama ulisoma mwananchi sometime last week walisema selection itatoka kuanzia 15th july 2012. Kuwa na subira. Click kwenye my profile, then my selection status, then click code utaona competition ikoje. Wangapi wameapply, eligible, not eligible and 1st choices.
nadhani tutaendelea kulogin na labda selection zikitoka itabidi ulogin ili ucheki hiyo selection status yako ili ujue umekuwa selected wapi..inaweza ikawa tofauti na vipindi vilivyopita ambapo wanatuma list ya majina ya watu waliochaguliwa
Jamani mimi naomba mnisaidie mwaka huu nimeomba chuo kupitia tcu mpaka sasa my selection status inaonyesha not yet processed,inamaana muda bado au ndiyo imekula kwangu.
tatizo langu lingine pale kwenye selection status ya vyuo nilivyoomba hakuna hata chuo kimoja kilicho andikwa eligible or not eligible.
tatizo langu lingine pale kwenye selection status ya vyuo nilivyoomba hakuna hata chuo kimoja kilicho andikwa eligible or not eligible.
Tatizo ni kwamba wengine zakwao zimebadilika