Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Januari makamba
Jikuma Mkundule-diwani kata ya Lupiro mahenge kwa Waziri Kombani
Sikubaliani na wewe. Hiyo list ina watendaji wazuri na wabaya. Hata wewe unalijua hilo ila unataka watu wako, ambao ni watendaji wabaya waonekane wazuri kwa sababu wamechanganywa na wapambanaji. Nyoka hatakuwa samaki kwa kumweka kwenye dimbwi la samaki.
Jombaa huyu diwani anaitwa Jikune Mkunduwe yeye ni diwani wa kata ya MWAYA (ccm) huko Ulanga mashariki.
mbona mimi ni Joseph Mwanalugali lakini sina hata uongozi wa nyumba kumi? hata kwenye nyumba yangu tu ni mgogoro maana Mumsap ndiye anaye take chaji!!!???????
Imani zako 2 kwa hyo sera zako 2.
hahaha,dah nimecheka sana hapo ulipomzungumzia mamsapu
Januari makamba
kaka naomba nikubaliane na wewe kwamba kushabihiana kwa initials siyo kushabihiana ktk utendaji,pia inaweza kufanana na utendaji!
mfano wa hawa marais walowahi kutokea!
1)John Kennedy(JK)
2)Julius Kambarage(JK)
3)Jakaya Kikwete(JK)
Ndugu zangu,ni kweli watu ambao majina yao yanaanza na JM wana hulka sana na siasa? Mfano.
1)Julius Malema.
Mwenyekiti wa umoja wa vijana afrika kusini aliyemsaidia zuma kuingia madarakani.
2)James Millya
mwenyekiti uvccm arusha anayemsaidia lowasa kuingia ikulu
3)John Mnyika
mmpanaji,mwanaharakati,waziri kivuli wa nishati,mmbunge wa ubungo,mwenyekiti mstaafu vijana cdm nk.
4)James Mbatia
mwenyekiti nccr mageuzi,mbunge mstaafu,na alikuwa mgombea ubunge kawe!
5)John Mrema.
Aligombea ubunge via cdm huko vunjo,na ni katibu mambo ya bunge chadema!
6)John Malecela.
Wote mnamjua
7)Jakaya Mrisho
mheshimiwa sana dr JM, raisi wa tanzania!
8)e.t.c(end of thinking capacity)
Je,kuna ukweli wowote?
kaka naomba nikubaliane na wewe kwamba kushabihiana kwa initials siyo kushabihiana ktk utendaji,pia inaweza kufanana na utendaji!
mfano wa hawa marais walowahi kutokea!
1)John Kennedy(JK)
2)Julius Kambarage(JK)
3)Jakaya Kikwete(JK)
nadhani mfanano unatokana na majina mengi ya kibantu kuwa na mwanzio wa m, majina ya kwanza si shida, kwani yapo mengi ya herufi moja.
Mzee jomo kenyatta
John Marandu, diwani wa kata ya katangara-mrere, rombo na ripota wa zamani wa itv-radio one.
aisee mmenipa challenge hata mm ni JMK ila sipendi siasi sipendi kutoa ahadi za uwongo naogopa lawama
thats my name JMK
namkumbuka john marandu ila sikupata kuskia kama ni diwani! Kuna Joseph Mungai! Aliwahi kuwa mmbunge wa mufindi iringa,waziri ktk awamu zote nne na mwanasiasa mkongwe hapa Tz!