- Thread starter
- #21
unataka kutuaminisha kuwa tukiwabadilisha majina yao na utendaji utabadilika?
sidhani km 2kiwabadilisha itakuwa ivyo,ila baadhi ya hao hapo juu me naona ni watendaji wazuri!
unataka kutuaminisha kuwa tukiwabadilisha majina yao na utendaji utabadilika?
sidhani km 2kiwabadilisha itakuwa ivyo,ila baadhi ya hao hapo juu me naona ni watendaji wazuri!
ila mengi ya kiafrika tu?? haya naongeza jina la mbunge wangu
John Mnyika!
Ndugu zangu,ni kweli watu ambao majina yao yanaanza na JM wana hulka sana na siasa? Mfano.
1)Julius Malema.
Mwenyekiti wa umoja wa vijana afrika kusini aliyemsaidia zuma kuingia madarakani.
2)James Millya
mwenyekiti uvccm arusha anayemsaidia lowasa kuingia ikulu
3)John Mnyika
mmpanaji,mwanaharakati,waziri kivuli wa nishati,mmbunge wa ubungo,mwenyekiti mstaafu vijana cdm nk.
4)James Mbatia
mwenyekiti nccr mageuzi,mbunge mstaafu,na alikuwa mgombea ubunge kawe!
5)John Mrema.
Aligombea ubunge via cdm huko vunjo,na ni katibu mambo ya bunge chadema!
6)John Malecela.
Wote mnamjua
7)Jakaya Mrisho
mheshimiwa sana dr JM, raisi wa tanzania!
8)e.t.c(end of thinking capacity)
Je,kuna ukweli wowote?
au unataka kusema kuwa majina tayari yameshathiri utendaji wao, hata ukibadilisha majina utendaji utakuwa uleule?.
January makamaba
...Infact Sheikh yahaya(RIP) a.k.a Mzee wa ulinzi usioonekana alishawahi kueleza hili. Alisema herufi za viongozi ni J,K,L,M,N na W. Infact alisema jinsi unavyokuwa nazo nyingi katika majina yako ndio umaarafu/kukubalika kunavyongezeka. mfano John Fitzgerald Kennedy, (Mwalimu) Julius kambarage Nyerere, Nelson Holithatha Mandela, (Maalim)seif Sharif Hamad, Jomo Kenyatta, William jefferson Clinton, Geroge Walker Bush, Osama Bin Laden nk....nahisi tz 2naongoza ktk hili,i wish angekuwepo sheikh(a.k.a/r.i.p) angetwambia nyota znatafsiri vp!
Ndugu zangu,ni kweli watu ambao majina yao yanaanza na JM wana hulka sana na siasa? Mfano.
1)Julius Malema.
Mwenyekiti wa umoja wa vijana afrika kusini aliyemsaidia zuma kuingia madarakani.
2)James Millya
mwenyekiti uvccm arusha anayemsaidia lowasa kuingia ikulu
3)John Mnyika
mmpanaji,mwanaharakati,waziri kivuli wa nishati,mmbunge wa ubungo,mwenyekiti mstaafu vijana cdm nk.
4)James Mbatia
mwenyekiti nccr mageuzi,mbunge mstaafu,na alikuwa mgombea ubunge kawe!
5)John Mrema.
Aligombea ubunge via cdm huko vunjo,na ni katibu mambo ya bunge chadema!
6)John Malecela.
Wote mnamjua
7)Jakaya Mrisho
mheshimiwa sana dr JM, raisi wa tanzania!
8)e.t.c(end of thinking capacity)
Je,kuna ukweli wowote?
Upuuzi kuamini mazingaombwe.
Huo ni mtazamo wako tu ila hakuna ukweli ndani yake
Mazingaumbwe yako wapi hapo?
Imetokea tu usije ukaangaika kumpa mwanao kwa mategemeo ya kisiasa kwani wengine ni magamba/mafisadi.
ngoja nibadili jina nijiite Juma Mpita Njia, labda nitatoka... lol
January Makamba& John Mnyika, young charismatic generation leaders.January makamaba
juma mwapachu,john mccain,
sidhani km 2kiwabadilisha itakuwa ivyo,ila baadhi ya hao hapo juu me naona ni watendaji wazuri!