Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
habarini madoctors na wana jf wenzangu, naombeni msaada, mke wangu ni mjamzito wiki 24 sawa na miezi 6, toka mimba itunge alikua anapata maumivu makali sn ya kiuno, maumivu yakaendelea kupungua kabisa lakini ghafla wiki 2 zilizopita alianza kuvuja damu na nilipompeleka hosp. Wakamfanyia utrasound wakamwambia ni PLACENTA PREVIA, leo tena hali ile imejirudia, wadau naombeni mnieleweshe hiyo PLACENTA PREVIA inasababishaje damu zitoke? Asanteni wakuu