Kuhusu pesa zilizopo Uswisi

Mkurabitambo

JF-Expert Member
Feb 3, 2010
230
57
habar wanaJf,natumain mu wazima. Kuna kauli wanagamba hupenda kutumia ''ni upepo tu''.wakitumia tabia ye2 watanzania ya kusahau na kutohoji.

Tumesahau kwamba uswis kunapesa zetu,2mewaacha mabwenyenye wachache kula pesa zetu.

Kwa wanajamii wenzangu inaweza kuwa ni upepo lakin kwangu bado ninawiwa na kutaka kujua ukweli wap zilipo pesa zetu?
Wenzangu mnajua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom