Kuhusu pdf!!!!!?

G M S

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
502
53
Wajumbe samahani hivi unapofungua mafail kwenye mtandao mengine yanakuwa yameandikwa (pdf) mwanzon kabisa na mara nyingi huwa yanataka udownload na hata nikidownload nikifungua inasema file format not support hivi haya mafaili yanahitaji nini??
 
Back
Top Bottom