plz wandugu nimechaguliwa hapo OLD MOSHI, lakini hadi sasa cjapata JOINING INSTRUCTION hivyo naomba kwa yeyote mwenye CONTACT za hiyo shule anipe ili nipate kujianda vizuri... Shukrani Mbele.!
Old Moshi ni shule nzuri sana, binafsi nimesoma pale kuanzia form 1 mpaka 6 na imenitoa kimaisha kwani nilimaliza vizuri level zote na kwa maksi nzuri sana, kikubwa kumbuka pale ni zaidi ya chuo hamna atakaekufwatilia, unaruhusiwa kwenda mjini tena na nguo safi na muda mwingi utaona watu wa kila namna kuanzia wanaopenda starehe mpaka wanaopenda kusoma kwa bidii na wanaopenda dini sana. Kama umechaguliwa comb ya science kuna maabara nzuri zenye kila kifaa kinachotakiwa na ni bidii yako tu kuvitumia, nakumbuka form 5 ukifika hutapata kitanda mpaka form 4 waondoke so itabidi ubebwe na dogo yeyote na hilo shule haitakuambia zaidi ya kukupangia bweni then utajijua mwenyewe. All the best dogo na nimekumbuka mbali sana.
Nimekaa Moshi miaka 10 na wala sikuwahi kuisikia .Au ni moja ya hizi shule za kata ?
Kwani hilo tope linaingia akilini weee kijana inaonyesha unaangalia usharobaro badala ya masomo watu mbona tumesoma pale miaka 6 na sasahv tunakula bata mbaya na hata hilo tope hatulikumbuki acha hizo dogo langu kamua kitabu uje ule bata weweGold m0shi ni xul tamu xana ila tatiz0 t0pe bhana.!