Hi, jf memberz plz na0mba kwa yey0te anayejua jamb0 l0l0te linal0husu shule ya 0ld M0shi a.k.a m0shi sec, je ip0 wilaya gani, je ktk hy0 wilaya ni mjini 0r vijijini na mengney0 mabaya kwa mazuri.!
Moshi Sec/Old Moshi Sec iko wilaya ya Moshi mjini barabara iendayo KCMC. Kusini inapakana na Chuo Cha Ushirika, kaskazini Rau, mashariki kitandu na magharibi chuo cha polisi moshi. Ni shule kongwe na nzuri kama wewe ni mpenda kitabu. Kama ni jamaa wa disco na club unahitaji nguvu za ziada hasa siku hizi chuo kilichoko jirani hakina uwezo wa ku accommodate wanachuo wote hivyo wengi hupanga mtaani na kutegemea zaidi ndoa za dharura!
Karibu Moshi kijana nchi ya MBEGE na Nyama choma!
Hi, jf memberz plz na0mba kwa yey0te anayejua jamb0 l0l0te linal0husu shule ya 0ld M0shi a.k.a m0shi sec, je ip0 wilaya gani, je ktk hy0 wilaya ni mjini 0r vijijini na mengney0 mabaya kwa mazuri.!
thanks wadau!
Yaani wewe ndo mkubwa wa huyo dogo? Muambie ani-pm mie ndo head-teacher wa old moshi. Asisahau jembe, slasher na ufagio