Hercule Poirot
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,717
- 1,472
Wadau kuna habari zozote kuhusu ofa mpya za internet toka Airtel ? majuzi walitutumia sms kusitisha ile ofa yao ya internet MB 200 za bure kuanzia saa 6 usiku wakisema wanaleta ofa kabambe kwa ajili ya xmass.....Kuna yeyote mwenye data kuhusu ofa hiyo mpya atujuze humu jukwaani? Au bado hawajatoa hio ofa:A S 465: