Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,137
Kwenye hotuba ya rais mwisho wa mwezi alizungumzia kuhusu ujenzi wa nyumba 700 za madaktari nchini, ukweli ni kwamba huo mradi upo lakini si wa serikali ni mradi unaosimamiwa na kufadhiliwa na GLOBAL FUND kupitia taasisi ya Mkapa Foundation. kwahiyo kikwete kujitapa kuwa ule mradi wa nyumba za madaktari ni wa serikali si kweli ni kudanganya Uma. na ni nyumba za wauguzi wa zahanati na vituo vya afya siyo za madaktari. kana kuna mwenye wasiwasi afike pale Mkapa Foundation atapata ufafanuzi yakinifu.