Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
Wadau wa JF Doctor naomba mnielimishe kuhusu hili.
Siku ambazo nimekunywa pombe nyingi, kesho yake nikiamka mwili unakuwa hauna amani mpk nitapike nyongo, ndiyo kidogo mwili nauskia unaanza kuwa sawasawa. Baada ya hapo huwa nakunywa maji mengi, nakupumzika, mwili unarudi kwenye hali yake.
Sasa je, hii nyongo inasababishwa na nini?
Kwanini mwili unakuwa hauna amani/hauko sama mpk nitapike nyongo?
Hii nyongo ndiyo ile ile tunayokulaga tukienda mnadani kwenye mbuzi na bia?
Nawasilisha.
Siku ambazo nimekunywa pombe nyingi, kesho yake nikiamka mwili unakuwa hauna amani mpk nitapike nyongo, ndiyo kidogo mwili nauskia unaanza kuwa sawasawa. Baada ya hapo huwa nakunywa maji mengi, nakupumzika, mwili unarudi kwenye hali yake.
Sasa je, hii nyongo inasababishwa na nini?
Kwanini mwili unakuwa hauna amani/hauko sama mpk nitapike nyongo?
Hii nyongo ndiyo ile ile tunayokulaga tukienda mnadani kwenye mbuzi na bia?
Nawasilisha.