Wanabodi nimekuwa nikiwasoma ktk janvi hili nikiwa nje ya wa uwanja, kwanza nawaomba mnisamehe kwa thread yangu ya kwanza kwa kuunza na swala la kutaka msaada.
Ombi langu kuu, ni kunifahamisha tu kiwango cha mshahara NMB, kwa fani ya IT nikiwa na masters, na kauzoefu ka mwaka 1-3. Najiaanda kwenda kwenye usaili naogopa kuvurunda. Asanteni na nakaribisha mwenye habari zaidi.
Ombi langu kuu, ni kunifahamisha tu kiwango cha mshahara NMB, kwa fani ya IT nikiwa na masters, na kauzoefu ka mwaka 1-3. Najiaanda kwenda kwenye usaili naogopa kuvurunda. Asanteni na nakaribisha mwenye habari zaidi.