Kuhusu Ndege Airbus Aliyoongelea Rais Magufuli

Hivi ATCL si wanazo zile Airbus mbili walizonunua, moja inalipiwa Parking zaidi ya miaka 5 kule france na nyengine sijui imetokomea wapi maana mara ya mwisho tulipata khabari kuwa ilikuwa kule Scandinavian countries ikifanyiwa repair baada ya kununua sio chini ya miaka mitano kule Jamaica?
Ipo France au sijui imekodishwa tena nchi gani West Africa na wakati huo huo Tanzania tunaendelea kulipa hela za kuikodisha ,hii nchi imeoza acha tu jamaa awe mwendawazimu kuirudisha kwenye mstari
 
Kaka huu upumbavu ndio unaoturudisha nyuma, kwanza hapo lingeenda jopo la watu kwenda kuikagua ndege, ilihali hawana utaalamu,wangekaa wiki moja na kulalahotelini

Umesema kweli kabisa Unampeleka waziri mwenye taaluma ya kilimo kwenda kukagua ndege. Taaluma usafiri waanga haina kubahatisha hata kidogo.
 
Tatizo lako unaiweka hii biashara very simple unanunua ndege watu wanapanda its that straight forward; ndugu safari moja ya KLM ukiona imetua hapo JKN ujue hao abiria wamekusanywa kutoka nchi kadhaa kutoka Europe na ndege ndogo hadi Amsterdam na kuwekwa ndani ya hiyo ndege moja kubwa tena mara nyingi hiyo ndege imetokea Marekani tayari ndani ina abiria.

Kuna misimu ndege aijazi kabisa despite all the effort kikubwa kwao kwenye ku sustain hiyo route ni kwamba wanajua kuna misimu wako busy na nauli wanaweka juu faida ya msimu huo ndio inafidia hasara za misimu isiyo na faida for the most kuanzia January mpaka mwezi wa tano ni hasara tu kwenye route ya Tanzania. Sasa usizanie makampuni kama Etihad, Emirates and the likes ni wapuuzi wanaponunua makampuni madogo ya ndege huko europe au kuingia business partnership na makampuni ya nchi za europe kufikia lengo la kampuni kubwa kama KLM ata hao wakenya wana ubia na makampuni ya kizungu kwa sababu ya faida hizi hizi za kukusanya abiria na wameshindwa.

Halafu kuna swala la airline reputation binafsi siwezi kupanda air Tanzania ambayo aina scrutinize ya western standards kwenye services history ya ndege zake wakati safari yenyewe ni ya masaa nane angani ukizingatia safari ya dakika 40 tu ndege zinaanguka; bora wawekeze kwenye miundo mbinu au services sector kuliko kununua ndege its just waste of money.
Kwanza kukiri kushindwa kabla ya kuanza ni upuuzi... Hata kama tulishindwa huko nyuma haimaanishi na sasa pia tutashindwa (nilisema huko juu, wachukuliwe watu makini kuongoza hii sekta)...

Ethiopian Airlines ni 100% owned by the Government, na yenyewe ndiyo ina ubia na Malawian Airlines... Hawa jamaa hawajapata hasara kwa miaka mingi iliyopita.. Nimesema hapo juu, kwa mwaka 2014 ilipata faida ya Trillion 7 za Kitanzania...

Tatu, Ujinga ni kuangalia mliyeshindwa na kujidhania pia wewe utashindwa pia... Umesema biashara ya ndege ni ngumu, kwanini Ethiopian Airlines wao wanapata faida kubwa hivo?? Kwanini wanatua kila wiki zaidi ya mara tano pale KIA na pia JKN?? Kwanini ujilinganishe na KQ wakati kila siku mnawatukana humu wakenya kamba hawana lolote la kuiga kutoka kwao?? Kwanini tusiangalie Ethiopian Airways wao waliwezaje??

Alafu pia hapa unapotosha tu, KQ wala hawajiendeshi kihasara kwa uhalisia kama usemavyo, after long years of company's profit walianza pata hasara mwaka 2013 na hii ni kutokana na Expenditures kuongezeka, 2013 walipata hasara sababu waliongeza ndege 9 za kisasa kutoka 34 mpaka 43, 2014 wakaongeza tena ndege 4 kufikia 47 na zikaongezwa tena ndege 5 za kisasa na kufikia 52... Sasa kwa hesabu za miaka mitatu hii ya hasara ni kwanza ongezeko la ndege mpya za kisasa zipatazo 18, pia lile saga la Al-Shabab liliumiza sana hili shirika kwa wateja kuogopa kupanda kwa tishio la kuangushwa, lakini pia watalii Kenya walipungua sana kulingana na expectations walizojiwekea... Usitake ukatishe watu tamaa, tunahitaji shirika letu haraka sana ili tupambane na KQ maana wakishaamka hatutawakamata anytime soon, maana tumeshaona sasa wanatumia nguvu nyingi sana kutangaza Kenya ipo shwari na saga la Al-Shabab na tayari yale mahoteli yaliofungwa kwa kukosa wateja kule Mombasa yameshaanza kufanya kazi... KQ itaanza kurudi kwenye kuenjoy faida yake very soon, if not 2017/18 basi ni 2018/19...
 
badala ya msafiri anayekuja kutalii Tanzania lazima ateremkie Kenya kwa Mheshimiwa Jaji mkuu wa kule angeteremkia moja kwa moja Kilimanjaro tukapata utalii..."
Hicho alichosema kinafanywa na ''long range'' aircraft.Asiwe na tamaa ya kuwa na videge vingi visivyokidhi hitaji lakuleta watalii kutoka huko wanakoishi.Hapo Kenya watalii wanaletwa kwa ndege za masafa marefu. Huo ndio ukweli.
 
Apige chini wale mazoba pale ATC kwanza....

Umefafanua vizuri sana bila kusahau kuondoa hili jipu la fastjet ilishirika letu liweze kukua kwa haraka. Ni aibu shirika la kigeni kuweka base yake hapa kwetu. Mashirika yote yaliyoendelea hayafanyi upuuzi kama tinaofanya kwa excuses kwamba hatuwezi kujisimamia.

Arudishe vijana wetu wengi (Pilots) wanaorusha ndege kule West Africa na South Africa...

Atafute kichwa kimoja (asilete uchama hapa) na napendekeza alete Kijana ambaye anaweza kimbizana na fitna na mihangaiko ya kutafuta masoko (sio wa kukaa pale Aviation House tu)..

Tununue Airbus mbili tu kwanza na vindege viwili vidogo... Uwezo huo tunao, tukitenga Trillion 1 tu naamini ATC itaamka..

Ila cha muhimu zaidi, hakikisheni kule Zanzibar mnakumaliza salama na kuwe na utulivu.. Kununua hizi Airbus tunatarget kukuza utalii wetu na almost 70% ya wageni wanaokuja nchini ni watalii na 60% kati yao lazima waende Zanzibar kupumzika kabla ya kurudi kwao... Mkipuuzia ya Zanzibar na mkanunua hizo ndege tutegemee hasara tu...
 
Kabisa mkuu tatizo la watu humu ndani awaangalii uwekezaji kama biashara bali ilimaradi tu; Rwanda air wameshaingia ubia na Ethiopia airline ili kujikwamua na ata huyo raisi Kagame ni kwa sababu aulizwi tu ipasavyo lakini bunge lao limeshauliza tija ya kukopa na kununua ndege ambazo azina faida.

Tunamatatizo zaidi ya mia na uwepo wa shirika la ndege si mojawapo ndege yenyewe inayoenda Znz ni size ya charter plane na ukiamka asubuhi nafasi bado unapata leo tunataka mambo makubwa kisa tuseme tunazo halafu tuanze kuzipa ruzuku huku sasa ndi kukosa vipaumbele.
Hivi kwanini unajilinganisha/unawaangalia walioshindwa?? Hivi Rwanda kwa mwaka inaingiza hata wageni kuzidi laki 3??

Wewe ni mtu ambaye unaacha kumpeleka mtoto shule kwasababu tu watoto wa jirani yako walifeli... Nchi yetu hii sio ya kuacha kuwa na Shirika letu, na ndio maana tumeshauri hapa wazee kama ninyi akili zimeshachoka hilo shirika likianzishwa wawekwe vijana wenye moto wa kutafuta mafanikio na sio wazee ambao msharizika na mlipofika... JKN KLM inashuka mara mbili kila siku, Etihad inashuka kila siku, Qatar inashuka kila siku, KQ inashuka kila siku Ethiopian Airways inashuka kila siku na FastJet inashuka kila siku hizi zikitokea nje, bado FastJet inashuka kila siku kwa safari za ndani na PA inashuka kila siku pia kwa safari za ndani... Hapo bado KIA nayo inapokea ndege kila siku (KLM, Etihad, Qatar) zinashuka kila siku na KQ na Ethiopian Airways zinashuka karibia mara 5 kwa wiki... Sasa unalinganisha hii nchi na kanchi kama Rwanda ambacho hata hao wateja wa kupanda ndege hakuna na wala Mashirika makubwa hayaendagi kila siku huko...
 
Hivi una akili sawa sawa kweli?
Kwa hiyo wewe ndio unajiona una akili? Fikiria Ethiopia tunaisifia eti ina ndege nyingi na train ya mwendo kasi lakini wananchi wake wanakufa na njaa hadi kuomba msaada, kwa hiyo tusikimbilie mambo hayo tuimarishe kwanza huduma za kijamiikwani kuna nchi tajiri hazimiliki ndege Bali makampuni binafsi yanafanya kazi hiyo na nchi inaendelea
 
Tumalize kwanza matatizo ya huduma muhimu ndo tuje kusumbuaana na mambo ya ndege
Wananchi wote wapate maji safi na salama
Watoto wamalize la 7 WANAJUA kusoma na kuandika
Tukimaliza hayo na mengineyo muhimu tuje sasa tuulizane ni ndege ipi tununue hii au ile
Si sawa!
Ndege pia ni chanzo na kivutio cha mapato! Nadhani Magufuli alielezea vema tu Jana! Ukiwa na usafiri ambao ni reliable, hotel na usalama, watalii huongezeka, lkn pia inarahisisha kusafiri pia kwa wananchi!
Tazama fastjet anavyopiga kazi!
 
ImageUploadedByJamiiForums1454692963.949617.jpg

magufuli aaanze kwanza na huyu fala otherwise akae kimyaa
 
Kwanza kukiri kushindwa kabla ya kuanza ni upuuzi... Hata kama tulishindwa huko nyuma haimaanishi na sasa pia tutashindwa (nilisema huko juu, wachukuliwe watu makini kuongoza hii sekta)...

Ethiopian Airlines ni 100% owned by the Government, na yenyewe ndiyo ina ubia na Malawian Airlines... Hawa jamaa hawajapata hasara kwa miaka mingi iliyopita.. Nimesema hapo juu, kwa mwaka 2014 ilipata faida ya Trillion 7 za Kitanzania...

Tatu, Ujinga ni kuangalia mliyeshindwa na kujidhania pia wewe utashindwa pia... Umesema biashara ya ndege ni ngumu, kwanini Ethiopian Airlines wao wanapata faida kubwa hivo?? Kwanini wanatua kila wiki zaidi ya mara tano pale KIA na pia JKN?? Kwanini ujilinganishe na KQ wakati kila siku mnawatukana humu wakenya kamba hawana lolote la kuiga kutoka kwao?? Kwanini tusiangalie Ethiopian Airways wao waliwezaje??

Alafu pia hapa unapotosha tu, KQ wala hawajiendeshi kihasara kwa uhalisia kama usemavyo, after long years of company's profit walianza pata hasara mwaka 2013 na hii ni kutokana na Expenditures kuongezeka, 2013 walipata hasara sababu waliongeza ndege 9 za kisasa kutoka 34 mpaka 43, 2014 wakaongeza tena ndege 4 kufikia 47 na zikaongezwa tena ndege 5 za kisasa na kufikia 52... Sasa kwa hesabu za miaka mitatu hii ya hasara ni kwanza ongezeko la ndege mpya za kisasa zipatazo 18, pia lile saga la Al-Shabab liliumiza sana hili shirika kwa wateja kuogopa kupanda kwa tishio la kuangushwa, lakini pia watalii Kenya walipungua sana kulingana na expectations walizojiwekea... Usitake ukatishe watu tamaa, tunahitaji shirika letu haraka sana ili tupambane na KQ maana wakishaamka hatutawakamata anytime soon, maana tumeshaona sasa wanatumia nguvu nyingi sana kutangaza Kenya ipo shwari na saga la Al-Shabab na tayari yale mahoteli yaliofungwa kwa kukosa wateja kule Mombasa yameshaanza kufanya kazi... KQ itaanza kurudi kwenye kuenjoy faida yake very soon, if not 2017/18 basi ni 2018/19...

Unazungumza kwa reja reja sana kutumbua tr 1 kwa nchi maskini it is as if kufanya biashara ni jambo jepesi sana; the essence of business ni demand na uwezi kukurupuka tu bila ya kufanya environmental scanning na kujua wateja wako wanatoka wapi.

Swala sio kukiri kushindwa hila kuzingatia changamoto na mazingira halisi za airline zilizopo sasa kwa safari za east africa you can't plan bila kujua advantage zako ziko wapi na biashara ilipo; kuna mambo luluki hapo ya kuzingatia hili kujua unafaida au hasara na costs lazima uzingatie kama ni mtu mwenye kujali resources zako kipi bora utumie tr 1 kununua ndege au utumie hiyo hela kuwekeza kwenye elimu ya service ya utalii, uwekeze kwenye vitega uchumi vya kuvutia watu kuingia ndani.

Uwezi kusema kampuni tu imeingiza faida fulani bila ya kuongelea mission ya biashara ikoje, how they execute it and their market advantage. Apple wanafaida za kufa mtu wakati Nokia imekufa kibiashara katika wakati utimiaji wa simu ukekuwa duniani na wote wanatengeza simu. Sony wanafikiria division yao ya kutengeneza TV kama inasababu ya kuendelea kuwepo maana imekua inatoa hasara kwa miaka na imekamua ikilelewa na budget ya sehemu ya biashara nyingine sasa unataka kusema dukani tv aziuzwi.

Ethiopia wana route nyingi na established airline in africa wanauwezo hata wa kutoa route kama walivyowapa ya china Rwanda air kupitia patnership ya Ethiopia. Halikadhalika Kenya kuna route imebidi wapunguze ambazo Ethiopia bado iko imara.

Kuna mambo mengi ya kuzingatia embu google nauli ya ethiopia airline, Kenya airways, KLM na ndege zote zinazokuja Tanzania halafu jiulize iwapo abiria wanapendelea bei nafuu na ubora wa huduma wakati haya mashirika yana different costs and debt obligations utakuta mmoja anaweza mudu bei hizo kwa sababu anakuwa organically na madeni yake ni madogo kwa hivyo he can benefit on volumes kwa bei ndogo; mwingine awezi kumudu bei za ushindani kwa sababu ana madeni bei zake lazima ziwe minimum ya kiasi gani ili kupata faida ya kibiashara ndio scenario ya Kenya airways hiyo kabla ya ata al-shabab (financial statement zao ni public you can do appraisals) sio mambo ya yako ya kujibunia.

Sasa anagali bei za egypt air, emirates na ushindani uliopo wa offer hao emirates ata ukichelewa ndege nauli yako iko pale pale na ndege nyingine aiko mbali alikadhalika KLM ukikosa ndege imekula kwako, kuna ushidani wa services za ndani ya ndege etc kuvutia wateja in short kuna sababu nyingi za kibiashara why people have advantage and why others loose wewe uwezi kusema tu nunua ndege as if ukishanunua watu wanapanda kirahisi sana.

Isitoshe hao wakenya awaangali ndege tu wana invest sana kuwapa watu sababu ya kwenda kenya vilevile na wanatumia alot of sales skills abroad kuliko Tanzania watu kwenda kwao ndio maana nikakwambia wewe unadhani ukishanunua ndege ndio kila kitu kiko sawa wakati auna ata business plan inayoipa Tanzania advantage lakini unan'gan'gana na mifano ya faida za wengine ndio biashara inavyofikiriwa hivyo kwenye sector yenye ushindani no wonder world bank report bado zinasema mission za biashara ndani ya Tanzania bado ziko nyuma sana kwenye technical reasoning.
 
Hicho alichosema kinafanywa na ''long range'' aircraft.Asiwe na tamaa yakuwa na videge vingi visivyokidhi hitaji lakuleta watalii kutoka huko wanakoishi.Hapo Kenya watalii wanaletwa kwa ndege za masafa marefu. Huo ndio ukweli.

Dar-Dubai ni 3957 km, A320 ina uwezo wa kwenda masafa hadi 6,480 km. (3,500 nautical miles). Sio mbaya ukianza na A320 ukafanya biashara na kadri biashara inavyokua unaongeza uwezo na kuchukua ndege za masafa makubwa zaidi. Ukisubiri hadi upate pesa nyingi sana ili ufanye biashara kubwa sana basi hakuna siku utaianza hiyo biashara, one step at a time!
 
Hivi kwanini unajilinganisha/unawaangalia walioshindwa?? Hivi Rwanda kwa mwaka inaingiza hata wageni kuzidi laki 3??

Wewe ni mtu ambaye unaacha kumpeleka mtoto shule kwasababu tu watoto wa jirani yako walifeli... Nchi yetu hii sio ya kuacha kuwa na Shirika letu, na ndio maana tumeshauri hapa wazee kama ninyi akili zimeshachoka hilo shirika likianzishwa wawekwe vijana wenye moto wa kutafuta mafanikio na sio wazee ambao msharizika na mlipofika... JKN KLM inashuka mara mbili kila siku, Etihad inashuka kila siku, Qatar inashuka kila siku, KQ inashuka kila siku Ethiopian Airways inashuka kila siku na FastJet inashuka kila siku hizi zikitokea nje, bado FastJet inashuka kila siku kwa safari za ndani na PA inashuka kila siku pia kwa safari za ndani... Hapo bado KIA nayo inapokea ndege kila siku (KLM, Etihad, Qatar) zinashuka kila siku na KQ na Ethiopian Airways zinashuka karibia mara 5 kwa wiki... Sasa unalinganisha hii nchi na kanchi kama Rwanda ambacho hata hao wateja wa kupanda ndege hakuna na wala Mashirika makubwa hayaendagi kila siku huko...
The case sio kupeleka watoto shule the issue at hand ni business viability ya kutumia karibu Tr 1 (hewa mpaka sasa) kununua ndege hayo maswala yanataka business answers faida inatoka wapi kama watu millioni mbili wanakuja kwa namna wanazojua wao kununua ndege additional value gani ipo kwa Tanzania hizo ndio sababu unanunua au unaacha sio kwamba uringe tu unazo ndege na wewe ata kama azina tija matokeo yake serikari iishie kuwa inagharamiwa kwa sababu hakuna faida za kibiashara wakati hizo resources zingeweza kuelekezwa sehemu zingine kukawa na positive impact kwenye maisha ya watu.
 
1)Tuanze na moja kwa mwaka huu wa fedha.
2)Waje na low fares strategy kama fast jest hili watanzania wengi wapate fursa ya kutumia usafiri huu.
3)Tuboreshe viwanja vya ndege vya Kigoma,Mtwara na Dodoma.Kwa mfano Dodoma,mashirika makubwa ya ndege yanakosa mapato mengi kwani kunashughuli nyingi za kiserikali na za kielimu ambazo muda ni Mali.

Sijui kwa nini ATCL ilikufa?Nakumbuka wakati nasoma Uganda,nilikuwa natumia usafiri huu.Na mara zote route ya Entebbe-Kilimanjaro-Zanzibar-Dar ilikuwa inajaza watu,hususani Kilimanjaro-Zanzibar mpaka siti zinakuwa shida.
Then nikasikia shirika limekufa.
 
Unazungumza kwa reja reja sana it is as if kufanya biashara ni jambo jepesi sana; the essence of business ni demand na uwezi kukurupuka tu bila ya kufanya environmental scanning na kujua wateja wako wanatoka wapi.

Swala sio kukiri kushindwa hila changamoto na mazingira halisi za airline zilizopo sasa kwa safari za east africa you can't plan bila kujua advantage zako ziko wapi na biashara ilipo; kuna mambo luluki hapo ya kuzingatia hili kujua unafaida au hasara na costs lazima uzingatie kama ni mtu mwenye kujali resources zako kipi bora utumie tr 1 kununua ndege au utumie hiyo hela kuwekeza kwenye elimu ya service ya utalii, uwekeze kwenye vitega uchumi vya kuvutia watu kuingia ndani.

Uwezi kusema kampuni tu imeingiza faida fulani bila ya kuongelea mission ya biashara ikoje apple wanafaida za kufa mtu wakati nokia imekufa na wote wanatengeza simu, sony wanafikiria division yao ya kutengeneza TV kama inasababu ya kuwepo sasa unataka kusema dukani tv aziuzwi.

Ethiopia wana route nyingi na established airline in africa wanauwezo hata wa kutoa route kama walivyowapa ya china Rwanda air kupitia patnership ya Ethiopia. Halikadhalika Kenya kuna route imebidi wapunguze ambazo Ethiopia bado iko imara; sasa hapo kuna mambo mengi embu google nauli ya ethiopia airline, Kenya airways, KLM na ndege zote zinazokuja Tanzania halafu jiulize iwapo abiria wanapendelea bei nafuu wakati makampuni zina different costs obligations utakuta mmoja anaweza mudu bei hizo kwa sababu anakuwa organically na madeni yake ni madogo kwa hivyo he can benefit on volumes; mwingine awezi kumudu bei za ushindani kwa sababu ana madeni bei zake lazima ziwe minimum ya kiasi gani ili kupata faida ya kibiashara ndio scenario ya Kenya airways hiyo kabla ya ata al-shabab; sasa anagali bei za egypt air, emirates wana offer ata ukichelewa ndege nauli yako iko pale pale na ndege nyingine aiko mbali alikadhalika KLM ukikosa ndege imekula kwako, kuna services za ndani ya ndege etc kuvutia wateja kuna sababu nyingi za kibiashara why people have advantage and why others loose.

Isitoshe hao wakenya awaangali ndege tu wana invest sana kuwapa watu sababu ya kwenda kenya vilevile na wanatumia alot of sales skills abroad kuliko Tanzania ndio maana nikakwambia wewe unadhani ukishanunua ndege ndio kila kitu kiko sawa una business plan inayoipa Tanzania advantage lakini unan'gan'gana na mifano ya faida za wengine ndio biashara inavyofikiriwa hivyo kwenye sector yenye ushindani no wonder world bank report bado zinasema mission za biashara ndani ya Tanzania bado ziko nyuma sana kwenye technical reasoning.
Ni wapi tumesema tukishanunua ndege tusijitangaze ili tupate watalii na watu wa kupanda hizo ndege zetu??? Tena huoni hapo tutapata faida mara mbili?? KQ pamoja na kwamba inapata hasara kwenye uendeshaji wake kwa miaka hii kadhaa lakini wanapata pesa nyingi sana kwenye utalii na ndio maana wana kiburi cha kubaki kwenye soko lakini pia hata Share price yake pale NSE na DSE bado ziko juu, maana wenye akili wanajua good things are about to come...

Kama wewe vile mnavyokuwa mkali kwenye ujenzi wa bandari ya bagamoyo (Investment ambayo tutaanza angalau kupata faida baada ya miaka 40) basi acha na sie tuwe wakali hapa kwenye ununuzi wa ndege... Tunahitaji sana kuwa na shirika letu
 
Back
Top Bottom