Kuhusu matokeo kidato cha NNE 2013

Nime penda ulivyo compose heading yako lakini content haiendani kabisa anyway mwanzo mgumu pia karibuni tujifunze....!!!
who ever said a penguin can not fly.........(Madascar Escape to Africa 2)

nimekuelewa ila ngoja tusubili matokeo
 
Laiti ingekuwa simu ukiichezea sana inaripuka, basi yangu ingebaki majivu kwa kusubiri matokeo simu imoto kama inahoma kali,du na wayatoe tu presha juu kwa juu.
 
Back
Top Bottom