Nokia3D
Member
- Feb 2, 2013
- 74
- 1
Matokeo ya kidato cha nne yanatupa presha sana.
Ni kutokana na mabadiliko ya idara ya elimu na mafunzo.kwa wengi wetu tunajua kuanzia tarehe 8 mwaka huu wa 2013 wa pili ndio matokeo yetu kidato cha nne kutangazwa rasmi.
Ninacho taka ni watahiniwa wote tuzidishe imani ili tuweze kupata matokeo mazuri na kupata nafasi za kuendelea kimasomo,kwani kikwazo kikubwa sana cha wanafunzi ni pale matokeo yanapokuwa mabaya.
We're supposed to trust God for everything.
Ni kutokana na mabadiliko ya idara ya elimu na mafunzo.kwa wengi wetu tunajua kuanzia tarehe 8 mwaka huu wa 2013 wa pili ndio matokeo yetu kidato cha nne kutangazwa rasmi.
Ninacho taka ni watahiniwa wote tuzidishe imani ili tuweze kupata matokeo mazuri na kupata nafasi za kuendelea kimasomo,kwani kikwazo kikubwa sana cha wanafunzi ni pale matokeo yanapokuwa mabaya.
We're supposed to trust God for everything.