PARRIE KIJIKO
Senior Member
- Jul 22, 2012
- 110
- 12
Chinua Anchebe v/s Ngungi wa thiongo
ni matumaini wengi wetu tumewahi kukutana na haya majina kwenye makava ya vitabu darasani au hata nyumbani
Chinua Anchebe anasifika kwa kazi kama "A man of the people","no longer at ease","things fall apart" et
ngungi yeye ni "the black hermit","weep not,child" ,"grain of wheat" etc
wote wawili wameandika kazi za aina tofauti tofati(riwaya,tamthiliya.ushairi na hadithi fupi)
on the stand of novels(riwaya) who do you think was/is the best kwenye ubora wa kazi,utunzi mzuri na uelimishaji?
Ngungi wa thiong'o(kenya) v/s chinua anchebe(nigeria)
ni matumaini wengi wetu tumewahi kukutana na haya majina kwenye makava ya vitabu darasani au hata nyumbani
Chinua Anchebe anasifika kwa kazi kama "A man of the people","no longer at ease","things fall apart" et
ngungi yeye ni "the black hermit","weep not,child" ,"grain of wheat" etc
wote wawili wameandika kazi za aina tofauti tofati(riwaya,tamthiliya.ushairi na hadithi fupi)
on the stand of novels(riwaya) who do you think was/is the best kwenye ubora wa kazi,utunzi mzuri na uelimishaji?
Ngungi wa thiong'o(kenya) v/s chinua anchebe(nigeria)